Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Sina mengi, tunashindwa kuenjoy simu zetu bwana very slow internet service.
Sina mengi, tunashindwa kuenjoy simu zetu bwana very slow internet service.
Fiber, Fiber, Fiber! Bila kuwekeza kwenye fiber matatizo yataendelea kuwepo. Wireless connection haijawahi kushindana na fiber hata siku moja. Hata ukienda kwenye zile nchi zenye 4G ya uhakika utakutana na changamoto za wireless.Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Sina mengi, tunashindwa kuenjoy simu zetu bwana very slow internet service.