Kampuni za kigeni zinawanyonya watanzania Overtime zao

Tatizo kubwa hapa ni kuwa Wizara ya Kazi haina kazi. Sioni kama ina mchango wowote ktk maslahi ya watanzania na Taifa kwa jumla.
Sasa hivi makampuni mengi tu ya binafsi yamejaa foreigners ambao wanafanya kazi hata za ufagizi. Immigation imeamua kula pesa zao na kuwapa working permits kama njugu. ukisoma hizo kazi ambazo wameingia nazo, utaambiwa ni wataalam wa IT kumbe ni clerical jobs tu ndo wanakuja kufanya. Vijana chungu nzima wanaishia mitaani kusaga soli na kujiingiza ktk kazi haramu (umalaya) na madawa.

Kwanini Wizara isiunde task force itakayotembelea makampuni yote hayo na kutathmini hali halisi ya waajiriwa waliomo humo?
sasa hivi wahindi weusi wamejazana ktk makampuni hayo kuliko hata idadi ya watanzania wenyewe, ukiuliza unaambiwa wako cheap na ukiwatisha nyau wanaogopa kama fisi maji. kwa hiyo ni easy to control them.
hata passport zao zinashikiliwa na mwajiri.
Yote haya wizara wanafahamu vizuri sana lkn waone walivyopiga kimya!
CDM chukua nchi tuweke mambo sawa, vijana wapate ajira.
 
I stand to be corrected, kwa uelewa wangu ukiajiriwa sekta binafsi, moja na ukuwa na mkataba na mwajiri, humo mambo yote ya msingi kwa maana ya kanuni za kulinda ajira yako na utendaji wako zitakuwa zimeainishwa na siku zote huo ndio mwongozo wako. Ni mikataba hiyo hiyo kama mtumishi is not delivering itatumika kumwondoa kutoka kwenye nafasi yake.

Ni mikataba hiyo hiyo inatakiwa kumlinda mtumishi pia kupata haki zake zikiwemo hizo za overtime n.k sasa kama haitekelezwi hivyo, unatakiwa kuhoji kwa nini? kama hilo haliwezekani unaweza kupeleka malalamiko rasmi kwenye mamlaka husika. Serikali haiwezi kufanya ukaguzi kuona kama watumishi wanalipwa overtime au la! tunatakiwa kuwajulisha ili waweze kuwa na mahali pa kuanzia kuhoji au kufanya utafiti. Kwa amoni yangu nadhani tusikae kimya kusubiri serikali ije kuona matatizo watumishi wanayopata, peleka taarifa ili serikali ifanye uchunguzi.
 
Tatizo kubwa hapa ni kuwa Wizara ya Kazi haina kazi. Sioni kama ina mchango wowote ktk maslahi ya watanzania na Taifa kwa jumla.
Sasa hivi makampuni mengi tu ya binafsi yamejaa foreigners ambao wanafanya kazi hata za ufagizi. Immigation imeamua kula pesa zao na kuwapa working permits kama njugu. ukisoma hizo kazi ambazo wameingia nazo, utaambiwa ni wataalam wa IT kumbe ni clerical jobs tu ndo wanakuja kufanya. Vijana chungu nzima wanaishia mitaani kusaga soli na kujiingiza ktk kazi haramu (umalaya) na madawa.

Kwanini Wizara isiunde task force itakayotembelea makampuni yote hayo na kutathmini hali halisi ya waajiriwa waliomo humo?
sasa hivi wahindi weusi wamejazana ktk makampuni hayo kuliko hata idadi ya watanzania wenyewe, ukiuliza unaambiwa wako cheap na ukiwatisha nyau wanaogopa kama fisi maji. kwa hiyo ni easy to control them.
hata passport zao zinashikiliwa na mwajiri.
Yote haya wizara wanafahamu vizuri sana lkn waone walivyopiga kimya!
CDM chukua nchi tuweke mambo sawa, vijana wapate ajira.

Unajua ndugu yangu hata wakija CDM kama sisi pia ambao tunanyanyaswa hatutabadilika kifikra. Nchi za wenzetu mtu akiona kitu fulani kinafanyika kinyume cha sheria anakuwa tayari kukisimamia na hata kutoa ushahidi. Tatizo letu hatutoi ushirikinao wa kutosha kufanikisha haya mambo na wengi tumekata tamaa kuwa hata nikisema hakuna linalofanyika. No tafiti peleka taarifa panapohusika, ukiona kimya kumbushia ua nenda ngazi nyingine, utapata tu mhusika kati ya kumi mmoja mwenye hamu na hizo taarifa na kazi itafanyika.
 
Unajua ndugu yangu hata wakija CDM kama sisi pia ambao tunanyanyaswa hatutabadilika kifikra. Nchi za wenzetu mtu akiona kitu fulani kinafanyika kinyume cha sheria anakuwa tayari kukisimamia na hata kutoa ushahidi. Tatizo letu hatutoi ushirikinao wa kutosha kufanikisha haya mambo na wengi tumekata tamaa kuwa hata nikisema hakuna linalofanyika. No tafiti peleka taarifa panapohusika, ukiona kimya kumbushia ua nenda ngazi nyingine, utapata tu mhusika kati ya kumi mmoja mwenye hamu na hizo taarifa na kazi itafanyika.
Hilo nalo neno. sisi watz hatujiamini kabisa. unapata ajira lakini bado unahisi kama vile ni favor tu kumbe qualifications zako na competence yako ndo imekupa job. matokeo yake unashindwa kufuatilia haki zako za msingi kwa kuogopa kuwa utamuudhi mchinja mbwa!
lakini bado nailaumu hii wizara ya kazi. wageni wamejaa mno ktk ajira ya tazania wakifanya kazi ambazo wazawa wanaweza kabisa. Tena hawa wageni ndo wenye kunyanyasa kweli watz.
 
Unajua ndugu yangu hata wakija CDM kama sisi pia ambao tunanyanyaswa hatutabadilika kifikra. Nchi za wenzetu mtu akiona kitu fulani kinafanyika kinyume cha sheria anakuwa tayari kukisimamia na hata kutoa ushahidi. Tatizo letu hatutoi ushirikinao wa kutosha kufanikisha haya mambo na wengi tumekata tamaa kuwa hata nikisema hakuna linalofanyika. No tafiti peleka taarifa panapohusika, ukiona kimya kumbushia ua nenda ngazi nyingine, utapata tu mhusika kati ya kumi mmoja mwenye hamu na hizo taarifa na kazi itafanyika.

Hivi wewe ndugu ni lini mfanyakazi wa chini akathubutu kwenda kutoa taarifa kama hiyo? Watakuja kukagua na kuona uozo wote, lakini baadae wataingizwa kwa Director na kupewa bahasha, halafu watasema unajua aliyekuja kutupa hizi taarifa ni mfanyakazi wako, kuwa makini!! Then Director kwa kupoteza hela hasira zote juu, mnyonge anaishia kufukuzwa kazi!!
Hivi unakumbwa yule Waziri aliyesema ataanza kuwafuatilia foreigners wanaofanya biashara mpaka za kuuza viatu? Hivi ulijiuliza iliishia wapi? Hivi unakumbuka tuliambiwa deni la ile ndege ya kukodisha lilikuwa kubwa mpaka jamaa wakaambiwa watapewa bandari ya mtwara! Unafikiri ulikuwa utani? Wachina wameikopesha hii nchi mpaka hawa waliokuja hapa nchini ukiwagusa utashangaa!!
Hivi hujajiuliza mbona Mwakyembe ameingia Wizara ya uchukuzi mambo yanaanza kwenda? Je ukabadilisha mfumo mzima mambo yatabadilika kiasi gani? Kule Marekani wana Democratic na Rebuplican, mwenye sera nzuri anapewa madaraka, kipindi chake kikipita wakiona hakuna kitu wanabadilisha, sasa sisi tunabaki na Magambazz miaka nenda miaka rudi!
Hebu fikiria raisi anakwenda mpaka kusimamia makontena yaliyorundikana bandari na kuoza wakati kuna Waziri Mkuu, Waziri, Naibu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi na Mkuu wa Bandari. Hivi hao wote anashindwa kuwapa amri tu na wakishindwa anawafuta kazi?? Mfumo wa nchi hii unahitaji kubadilika kabisa, kama ni CDM au NRA wanapewa it's better hawa Magambazz wakae benchi ndio watatia akili.
Soon huku Masaki watakuwa raia wa nje tuu ndio wanaishi sisi tukiwa tunashangaa!! Madiliko na maendeleo lazima yasukumwe na waliopo juu, wao ndio wenye nguvu kuliko wanyonge!!!!!!
 
I stand to be corrected, kwa uelewa wangu ukiajiriwa sekta binafsi, moja na ukuwa na mkataba na mwajiri, humo mambo yote ya msingi kwa maana ya kanuni za kulinda ajira yako na utendaji wako zitakuwa zimeainishwa na siku zote huo ndio mwongozo wako. Ni mikataba hiyo hiyo kama mtumishi is not delivering itatumika kumwondoa kutoka kwenye nafasi yake.

Ni mikataba hiyo hiyo inatakiwa kumlinda mtumishi pia kupata haki zake zikiwemo hizo za overtime n.k sasa kama haitekelezwi hivyo, unatakiwa kuhoji kwa nini? kama hilo haliwezekani unaweza kupeleka malalamiko rasmi kwenye mamlaka husika. Serikali haiwezi kufanya ukaguzi kuona kama watumishi wanalipwa overtime au la! tunatakiwa kuwajulisha ili waweze kuwa na mahali pa kuanzia kuhoji au kufanya utafiti. Kwa amoni yangu nadhani tusikae kimya kusubiri serikali ije kuona matatizo watumishi wanayopata, peleka taarifa ili serikali ifanye uchunguzi.

Njoka Ereguu,

Hebu pitia hii thread halafu ulinganishe na ulichokisema:


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-description-hazitolewi-na-waajiri-wengi.html


Ninaamini hufanyi kazi kwenye private sekta. Fanya utafiti wako binafsi uone ndipo utaamini maneno ya mchangiaji mwenzangu anayesema kuwa sasa hivi kumerundikana wahindi wekundu, wa-South Africa.


Kwa ujumla higher management post nyingi wanashika wao. Proffessional post zote kubwa wanashika wao. Nyinyi watanzania mtaachiwa idara moja tu yaani Human Resource kwa sababu mnajuana, tena Human Resource ya kuwasaidia kuwabana watanzania wenzao.
 
Back
Top Bottom