Wengert katika kashfa ya bangi:
Kampuni hii ya Kimarekani ambayo imekuwa ikikiuka order za serikali na kung'ang'ania vitalu vya uwindaji sasa inazua maswali mengi. Mwaka uliopita gari moja ya kampuni ya Wengert Windrose Safaris ilikamatwa huko Arusha ikiwa na shehena ya bangi.
Mtuhumiwa hadi hivi leo hajafikishwa mahakamani licha ya kukamatwa red-handed akiwa na bangi kama inavyoonekana pichani. Inadaiwa kuwa wahusika wakuu wa mzigo huo hawajakamatwa hadi leo.
Nani anawalinda wahalifu hawa? Je, hiyo ndio sababu ya kung'ang'ania vitalu, ili kuendeleza biashara ya bangi?
Kampuni hii ya Kimarekani ambayo imekuwa ikikiuka order za serikali na kung'ang'ania vitalu vya uwindaji sasa inazua maswali mengi. Mwaka uliopita gari moja ya kampuni ya Wengert Windrose Safaris ilikamatwa huko Arusha ikiwa na shehena ya bangi.
Mtuhumiwa hadi hivi leo hajafikishwa mahakamani licha ya kukamatwa red-handed akiwa na bangi kama inavyoonekana pichani. Inadaiwa kuwa wahusika wakuu wa mzigo huo hawajakamatwa hadi leo.
Nani anawalinda wahalifu hawa? Je, hiyo ndio sababu ya kung'ang'ania vitalu, ili kuendeleza biashara ya bangi?