Mwenzako amekupa cases mbili hapo,na hiyo ya kulipia azam kwa kutumia tigo pesa haikufika nayo wamesababisha voda?ww acha kulalamikia tigopesa, huo mchezo unafanywa na voda kudiskarej watu kutumiana pesa toka mitandao mingine. mm nimeshafanya utafiti mfupi kwn mitandao mitatu kila unapotuma au kutumiwa pesa kwenda au kutoka mpesa kunakuwa na fingisu. wale makaburu wa voda ni wajanja sana. nikuulize swali, ulishawah kuona voda wanatoa tangazo kuwa watu watume pesa toka mitandao mingine kwenda au kutoka mpesa? ili transaction ikamilike lazma kuwe na connection nzur kati ya kampuni inayotuma na inayopokea. chunguza mkuu malalamiko mengi ni kwa watu wanaotuma// kutumiwa toka mpesa to other networks
Mkuu ukiwapigia simu huwezi kata tamaa maana hawakatai ila tatizo haliishi ni mwendo wa kukupa matumaini tuUna ujomba nao!!? mahakama zipo unasubiri nini kuwafungulia kesi wakulipe fidia?
Na huu ndo ukweli na ndicho kilichoniuma kushindwa kukamilika hata ya kwenda azamtvsasa kama inajukikana hali iko hivyo kwa nini watutangazie kutumiana pesa kwenda mtandao wowote wakati wanajua hawajawasiliana vyema na kampuni nyingine? mi nadhani hapa kuna tatizo na ni kubwa sana. Inakuwaje hata malipo ya king'amuzi nayo yawe na ukakasi? huyu ni mmoja tu aliyeamua kujitokeza hadharani kusema kero hii lakini tujue kwamba wapo watu wengi sana ambao wanakero kama hizi au zinazofanana na hizi.
Na ndo wanachodai kuwa pesa bado ipo wanaiona ila kurudisha hairudiHela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
Na hiyo ndo sababu ilinifanya nihamie tigo... Ila ndo hivyo nao walewale kasoro majina tuhuo mchezo wanao voda tigo wanajitahidi kwa kweli kwenye tigo pesa ila voda duuu ni wezi nje nje wameshanipiga sana
Mkuu kuzoea hili inakuwa ngumu kidogoWazoee mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Kweli kabisa maana tumekuwa tukilizwa n'a hawa jamaa muda mrefu sanaMamlaka husika nadhani wanapaswa kulitazama hili
Si kweli,labda unabackground apps nyingi zinazofanya kazi na ku utilize data kipindi wewe wabrowse Jf tu.
Niwaombe msamaha Hallotel kwa kuwatukana, kumbe kuna mabackground apps mengi yalikuwa yanarun bila kujua, siku ya 3 hii naweka kifurushi kinapitiwa na sikomi. Yaani nilikuwa nashangaa eti nabrowse JF na FB tu kwenye data interface inaonesha natumia kb zaidi ya 200 per second. Asante kwa muongozo umeniokoa!Si kweli,labda unabackground apps nyingi zinazofanya kazi na ku utilize data kipindi wewe wabrowse Jf tu.
Mkuu ukiwapigia simu huwezi kata tamaa maana hawakatai ila tatizo haliishi ni mwendo wa kukupa matumaini tu
Kumbuka kuna aggregator katkat.na ndo huwa wanasumbua sanaHela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
Na watamlipa za kutosha!!! Tatizo hizi fursa zinaenda pasipo na wajenziHela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
All Asians are thieves except japanese[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]