Wanajamvi mjihadhali na wizi wa kampuni ya Tigo,mimi nimekutana na mkasa wa kuibiwa na Tigo mara tatu,nimejaribu kuwapigia kwenye number yao ya customer care napata majibu ya computer kwamba nirecord malalamiko yangu halafu watanijibu baadae,sijawahi kukopa kutoka tigo lakini nikiweka pesa tu wanakata pesa kama sh mia mbili na kuniambia nimemaliza deni langu.Hiki kitu inaniudhi sana na sasa nimeamua kuachana Tigo kabisa! hata kama pesa kidogo lakini ni wizi na huenda wanaibiwa watu wengi na huo ni utapeli,kwanini mteja akiwa na malalamiko arekodi ili ajibiwe baadae?
Kampuni za simu zinabidi kuchunguzwa sana kwa style za namna hii za wizi na nina wasiwasi hata kwenye tigo pesa watakua wanaiba pesa nyingi sana bila watu kujua.:disapointed:
Kampuni za simu zinabidi kuchunguzwa sana kwa style za namna hii za wizi na nina wasiwasi hata kwenye tigo pesa watakua wanaiba pesa nyingi sana bila watu kujua.:disapointed: