nyapinyapileo
Member
- Oct 19, 2022
- 92
- 215
Heri ya mwaka mpya wapendwa
Nilishawishika kukopa sola ya Watt 80 kutoka kampuni ya mysol ili wadogo zangu kijijini kwetu itilima wapate mwanga na kusoma vizuri. Cha ajabu hii kampuni ni majizi matupu, baada ya kulipia malipo ya awali Tsh.180,000, iliwachukuwa siku 17 kuja kunifungia sola hiyo nyumbani (walifunga tarehe 12 Disemba 2022).
Siku ya tarehe 13 Disemba sola yao ilizima na haijawaka mpaka leo tarehe 2 Januari 2023. Tangu ilipozima,nimekuwa nikiwapigia simu waje watengeneze ikiwa ni pamoja na kuwatumia Tsh 20,000 ya usafiri lakini hawajaja,huu si ni wizi na utapeli wa waziwazi.
Nyie majizi kampuni ya mysol mbwa kabisa nyie rudisheni pesa yangu ifikapo leo saa 6 mchana,zaidi ya hapo nitavunjavunja mavifaa yenu yote wezi na matapeli wakubwa nyinyi.
Nilishawishika kukopa sola ya Watt 80 kutoka kampuni ya mysol ili wadogo zangu kijijini kwetu itilima wapate mwanga na kusoma vizuri. Cha ajabu hii kampuni ni majizi matupu, baada ya kulipia malipo ya awali Tsh.180,000, iliwachukuwa siku 17 kuja kunifungia sola hiyo nyumbani (walifunga tarehe 12 Disemba 2022).
Siku ya tarehe 13 Disemba sola yao ilizima na haijawaka mpaka leo tarehe 2 Januari 2023. Tangu ilipozima,nimekuwa nikiwapigia simu waje watengeneze ikiwa ni pamoja na kuwatumia Tsh 20,000 ya usafiri lakini hawajaja,huu si ni wizi na utapeli wa waziwazi.
Nyie majizi kampuni ya mysol mbwa kabisa nyie rudisheni pesa yangu ifikapo leo saa 6 mchana,zaidi ya hapo nitavunjavunja mavifaa yenu yote wezi na matapeli wakubwa nyinyi.