Kampuni ya Mkulazi ya NSSF na PPF je wafanyakazi haiwahusu?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
7,349
10,765
Mfuko wa PPF na NSSF wameanzisha
kampuni tanzu iitwayo Mkulazi (Mkulazi Holding
Company Limited) Na jinsi nilivyoona hapa kwenye Habari ni kwamba hii kampuni iko active na soon wataanza kuzalisha sukari (SOMA TAARIFA YA MRADI HAPO CHINI )

Nielewavyo huu ni mradi utakaozalisha faida kama ilivyo majumba wanayojenga -Je,wafanyakazi wanaokatwa kuchangia mifuko hii wanazo hisa anyhow kwenye hii kampuni? na kama siyo inakaaje wadau!si itakuwa wafanyakazi wanadhurumiwa? -Hakuna namna kila mfanyakazi awe mmiliki pia wa kampuni hiyo? Kama kuna mwenye technical explanations anaweza kutujuza.
 
Document ya Mkulazi company ndio hii
 

Attachments

  • mkulazi+commercial+farm+farm.pdf
    159.7 KB · Views: 134
tunataka kuona faida inayopatikana inanufaisha wale wenye mafao yao huko..
 
Mfuko wa PPF na NSSF wameanzisha
kampuni tanzu iitwayo Mkulazi (Mkulazi Holding
Company Limited) Na jinsi nilivyoona hapa kwenye Habari ni kwamba hii kampuni iko active na soon wataanza kuzalisha sukari (SOMA TAARIFA YA MRADI HAPO CHINI )

Nielewavyo huu ni mradi utakaozalisha faida kama ilivyo majumba wanayojenga -Je,wafanyakazi wanaokatwa kuchangia mifuko hii wanazo hisa anyhow kwenye hii kampuni? na kama siyo inakaaje wadau!si itakuwa wafanyakazi wanadhurumiwa? -Hakuna namna kila mfanyakazi awe mmiliki pia wa kampuni hiyo? Kama kuna mwenye technical explanations anaweza kutujuza.

Kwani huko nyumba wanachama walikuwa wanapewa hisa kwenye uwekezekezaji uliofanywa na NSSF au PPF? Kifupi ni hivi, wanachama wanapata chao kupita mafao. Unakatwa hela, inatumika kufanya uwekezaji ili baadae waweze kulipa zaidi ya kiasi ulichokatwa.
 
Mfuko wa PPF na NSSF wameanzisha
kampuni tanzu iitwayo Mkulazi (Mkulazi Holding
Company Limited) Na jinsi nilivyoona hapa kwenye Habari ni kwamba hii kampuni iko active na soon wataanza kuzalisha sukari (SOMA TAARIFA YA MRADI HAPO CHINI )

Nielewavyo huu ni mradi utakaozalisha faida kama ilivyo majumba wanayojenga -Je,wafanyakazi wanaokatwa kuchangia mifuko hii wanazo hisa anyhow kwenye hii kampuni? na kama siyo inakaaje wadau!si itakuwa wafanyakazi wanadhurumiwa? -Hakuna namna kila mfanyakazi awe mmiliki pia wa kampuni hiyo? Kama kuna mwenye technical explanations anaweza kutujuza.

Eti fitna imeua mradi, hakuna kinachofanyika since 2016
 
waweke utaratibu kwa mwanachama anaye taka anunue hisa kutokana na michango yako :rolleyes:
 
Back
Top Bottom