Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania yaongoza kwa Mauzo ya Data

Sudysoko

JF-Expert Member
Aug 19, 2015
449
180
Kupitia jarida la uchumi na uwekezaji Investec la Africa Kusini limetaja kampuni ya Vodacom Tanzania kuwa kinara wa mauzo ya data kampuni hiyo imeongeza mapato ya mauzo ya data kwa kipindi cha miaka 5 kwa asilimia 22 ukilinganisha na asilimia 26 ya Safaricom ya Kenya.

Ongezeko hili limetokana na upanuzi wa miundombinu ya minara ya 3G na 4G huku ongezeko la watumiaji wa simu za smart ikifikia asilimia 41 huku kukiwepo na uboreshwaji wa huduma.

Kampuni ya Vodacom imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya minara ya 3G na 4G kwa kuongeza spidi mara mbili ya ilivyokuwa awali huku kampuni ya Tigo ikiendelea kuwa mshindani wa karibu katika kuongeza spidi ya Internet.

Katika kipindi hiki cha uuzaji wa hisa mapato yatokanayo na data yamechangia kuwa kiashiria kikubwa kwa kukuza na kutanuka kibiashara siku za usoni kwa kampuni hiyo ya mawasiliano.


Source

Investec Africa.

b9fca37bc46430a810cb77961c070e88.jpg
 
Vodacom Tanzania kwa upande wa Data ninawapongeza hakika wamejipanga vizuri ndio maana ninapoambiwa niwekeze kwenye kampuni hii huwa sivungi kabisa...... Uki [HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG] unahakika na kazi.
 
Vodacom Tanzania kwa upande wa Data ninawapongeza hakika wamejipanga vizuri ndio maana ninapoambiwa niwekeze kwenye kampuni hii huwa sivungi kabisa...... Uki [HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG] unahakika na kazi.
Naona mmejipanga kujisifia mtandao upo chini sana kwenye internet imagine mm nipo hapa mbezi mwisho ila internet inazingua sana sasa na yule aliyepo mabwepande sijui wapi atasemaje na ndio mmepanua mtandao ila spidi ipo low sana mnategemea mtu akijiunga internet kifurushi cha wiki mchukue hizo data zinazobaki kwa sababu ya spidi kuwa chini.
 
Kupitia jarida la uchumi na uwekezaji Investec la Africa Kusini limetaja kampuni ya Vodacom Tanzania kuwa kinara wa mauzo ya data kampuni hiyo imeongeza mapato ya mauzo ya data kwa kipindi cha miaka 5 kwa asilimia 22 ukilinganisha na asilimia 26 ya Safaricom ya Kenya.

Ongezeko hili limetokana na upanuzi wa miundombinu ya minara ya 3G na 4G huku ongezeko la watumiaji wa simu za smart ikifikia asilimia 41 huku kukiwepo na uboreshwaji wa huduma.

Kampuni ya Vodacom imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya minara ya 3G na 4G kwa kuongeza spidi mara mbili ya ilivyokuwa awali huku kampuni ya Tigo ikiendelea kuwa mshindani wa karibu katika kuongeza spidi ya Internet.

Katika kipindi hiki cha uuzaji wa hisa mapato yatokanayo na data yamechangia kuwa kiashiria kikubwa kwa kukuza na kutanuka kibiashara siku za usoni kwa kampuni hiyo ya mawasiliano.


Source

Investec Africa.

b9fca37bc46430a810cb77961c070e88.jpg
Kweli kabisa,Vodacom wapo vizuri katika hilo na huduma zao zipo vizuri na ndio maana wanafanya vizuri katika soko la ushindani katika nyanja ya mawasiliano.hongereni sana Vodacom
 
Vodacom Tanzania kwa upande wa Data ninawapongeza hakika wamejipanga vizuri ndio maana ninapoambiwa niwekeze kwenye kampuni hii huwa sivungi kabisa...... Uki [HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG] unahakika na kazi.
Wacha wafanye vizuri,kiukweli wanastahili kuwa kampuni bora ya mawadiliano Tanzania.
 
Naona mmejipanga kujisifia mtandao upo chini sana kwenye internet imagine mm nipo hapa mbezi mwisho ila internet inazingua sana sasa na yule aliyepo mabwepande sijui wapi atasemaje na ndio mmepanua mtandao ila spidi ipo low sana mnategemea mtu akijiunga internet kifurushi cha wiki mchukue hizo data zinazobaki kwa sababu ya spidi kuwa chini.
Nadhan tatzo ni sehem uliyopo bt ukikaa sehem nzur voda iko speed sana
 
Naona mmejipanga kujisifia mtandao upo chini sana kwenye internet imagine mm nipo hapa mbezi mwisho ila internet inazingua sana sasa na yule aliyepo mabwepande sijui wapi atasemaje na ndio mmepanua mtandao ila spidi ipo low sana mnategemea mtu akijiunga internet kifurushi cha wiki mchukue hizo data zinazobaki kwa sababu ya spidi kuwa chini.
Mimi nimekaa chini ya mtandao hapa t/kimanga lakini network speed inayompa 0k/s je nikiwa mbali?
 
Kupitia jarida la uchumi na uwekezaji Investec la Africa Kusini limetaja kampuni ya Vodacom Tanzania kuwa kinara wa mauzo ya data kampuni hiyo imeongeza mapato ya mauzo ya data kwa kipindi cha miaka 5 kwa asilimia 22 ukilinganisha na asilimia 26 ya Safaricom ya Kenya.

Ongezeko hili limetokana na upanuzi wa miundombinu ya minara ya 3G na 4G huku ongezeko la watumiaji wa simu za smart ikifikia asilimia 41 huku kukiwepo na uboreshwaji wa huduma.

Kampuni ya Vodacom imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya minara ya 3G na 4G kwa kuongeza spidi mara mbili ya ilivyokuwa awali huku kampuni ya Tigo ikiendelea kuwa mshindani wa karibu katika kuongeza spidi ya Internet.

Katika kipindi hiki cha uuzaji wa hisa mapato yatokanayo na data yamechangia kuwa kiashiria kikubwa kwa kukuza na kutanuka kibiashara siku za usoni kwa kampuni hiyo ya mawasiliano.


Source

Investec Africa.

b9fca37bc46430a810cb77961c070e88.jpg
Baada ya hisa zenu kudoda sokoni naona mmeamua kuja kuzipush huku.
 
Ofcoz jamaa wapo vizur,sema baadh ya maeneo mtandao wao unasumbua ila mi napenda kw huduma ya vifurush vya chuo wanatupa data za kutosha,asante!
 
Vodacom Tanzania kwa upande wa Data ninawapongeza hakika wamejipanga vizuri ndio maana ninapoambiwa niwekeze kwenye kampuni hii huwa sivungi kabisa...... Uki [HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG] unahakika na kazi.
Hatudanganyiki
 
Back
Top Bottom