Kampuni ya mambo ya engineering inauzwa!

Kampuni ya mambo ya engineering inauzwa!

Afrolink-Tz Consult Ltd

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2018
Posts
425
Reaction score
955
Kampuni ya masuala ya engineering katika upande wa umeme na mechanics inauzwa

Sifa za kampuni
1. Imesajiliwa mwaka 2008 na kuanza rasmi kazi zake mwaka 2010 baada ya kupata usajili CRB

2. Ina healthy client portfolio ya zaidi ya 100 clients

3. Imeshafanya na inafanya sana miradi mikubwa ya watu, makampn binafsi na serikali pia eg REA

4. Ipo active hadi ss na inafanya operations zake kama kawaida

5. Ina assets za kutosha

6. Madeni yapo ya kawaida tu hasa upande wa VAT (unaweza kuoffset VAT A/c). HAINA DENI BENKI

7. Location: Ipo Mbezi beach, mitaa ya Jogoo, plot 24, Block B

8. Bei: Itategemea wataka kununua kwa mtindo
A: Kuwalipa pesa itakayokubalika ambapo madeni utayarithi au
B:Kulipa jumla pamoja na madeni

Kwa kikao na majadiliano ya kina check us through
Email: info@afrolink.co.tz
Mobile: 0659 211 222/ 0777 777 766

Karibuni
 
Ina asset gani, wafanyakazi wangapi, annual gross profit in shs. Ngapi in USD. Projects ngapi ziko mkononi
 
Assets zenu upande wa machines ni zipi.?
Kampuni ya masuala ya engineering katika upande wa umeme na mechanics inauzwa

Sifa za kampuni
1. Imesajiliwa mwaka 2008 na kuanza rasmi kazi zake mwaka 2010 baada ya kupata usajili CRB

2. Ina healthy client portfolio ya zaidi ya 100 clients

3. Imeshafanya na inafanya sana miradi mikubwa ya watu, makampn binafsi na serikali pia eg REA

4. Ipo active hadi ss na inafanya operations zake kama kawaida

5. Ina assets za kutosha

6. Madeni yapo ya kawaida tu hasa upande wa VAT (unaweza kuoffset VAT A/c). HAINA DENI BENKI

7. Location: Ipo Mbezi beach, mitaa ya Jogoo, plot 24, Block B

8. Bei: Itategemea wataka kununua kwa mtindo
A: Kuwalipa pesa itakayokubalika ambapo madeni utayarithi au
B:Kulipa jumla pamoja na madeni

Kwa kikao na majadiliano ya kina check us through
Email: info@afrolink.co.tz
Mobile: 0659 211 222/ 0777 777 766

Karibuni
 
Kampuni ina workshop kubwa ambayo kuna vifaa mbalimbali vya kufanyia kazi na mashine mbalimbali kama vile oven zinazohusiana na mambo ya mota, filtration pumps, cranes et al (wataalam wa mambo ya umeme mnajua zaidi workshop ya mambo ya umeme iweje). Ni vitu vingi kw ujumla wake. Kama upo interested waweza kutembelea ofisi zipo Mbezi Beach, Jogoo pl ukajiridhisha kabla ya kufanya maamuzi
 
im interested na liabilities zake kwanza...
Thanks Mkuu
Madeni yapo lkn kw upande wa TRA kuna deni la VAT na corporate tax kiasi kidogo kama awamu 3 za malipo ya mwaka huu ya provision tax, pia walikuwa wanadaiwa interest ktk SDL na PAYE hawakuwasilisha lkn principal amount wameclear, NSSF kuna michango ya miezi ya karibuni haijawasilishwa. Madeni na wateja wanayo wanadai outstanding nzuri tu. Hapana mkopo wowote kutoka ktk taasisi za kifedha!

Mkuu Wyatt Mathewson et al
Ukihitaji exactly figures za kila kitu ktk faili lao wakaribishwa ofisini kwetu kwn tumekuwa authorized na jambo hili na pia sisi ni consultants wao

Ofisi zetu zipo: Mtaa wa Shaurimoyo/Songea, Jengo la Mariam Tower, ghorofa ya nne, barabara ya Shaurimoyo, Ilala. (TRA ILALA), Dar es Salaam, Tz

Mwasiliano: 0659 211 222/ 0777 777 766

vlvl tuna kampuni inauzwa ambayo bei yake ipo chini na pia ina mwaka na miezi kama minne ktk biashara za consultancy. Na hii deni lake kwa ss ina outstanding tax liability ya sh 65,000/= tu ya sehem ya kodi ya mwaka huu kukamilika yote. Mauzo yake itategemea km wataka kununua kila kitu hd mkataba wa sehem ya biashara au wataka docs na baadhi vitu muhimu km vile EFD machine nk
 
Thanks Mkuu
Madeni yapo lkn kw upande wa TRA kuna deni la VAT na corporate tax kiasi kidogo kama awamu 3 za malipo ya mwaka huu ya provision tax, pia walikuwa wanadaiwa interest ktk SDL na PAYE hawakuwasilisha lkn principal amount wameclear, NSSF kuna michango ya miezi ya karibuni haijawasilishwa. Madeni na wateja wanayo wanadai outstanding nzuri tu. Hapana mkopo wowote kutoka ktk taasisi za kifedha!
Vipi ni segment gani ya engineering?

Civil?Electrical?Mechanical?etc?

Acquisition price range ipoje?

Nipe kwa range tu labda let say 1mil USD-2milUSD?

Au 200k usd-400k usd,etc?
 
1. Segement: ELECTRICAL AND MECHANICAL ENGINEERING

2. Acquisation price: Around $200k

Kuna conditions ambazo zimewekwa pia km mtakubaliana bhasi take over itafanyika kwa kuwalipa directors then hizi taasisi nyingine ni kwenda kukaa nazo kufanya negotiations on how to clear debts
 
1. Segement: ELECTRICAL AND MECHANICAL ENGINEERING

2. Acquisation price: Around $200k

Kuna conditions ambazo zimewekwa pia km mtakubaliana bhasi take over itafanyika kwa kuwalipa directors then hizi taasisi nyingine ni kwenda kukaa nazo kufanya negotiations on how to clear debts

Nimekusoma mshua....nadhani VAT itakua kwenye bilion hivi...

Class ngapi leseni yao?

Vipi unaweza nipa estimate ya outstanding jobs volume ambazo ndio zinafanyika au pipeline..just estimate tu!

What's the reason lakini?

Directors wamewashana mangumi nini?
 
VAT: hapana ipo katika 'digit 8'

Class: Daraja la 4

Volume: Projects kubwa na ndogo zinafika zaidi ya 20 kwa mwaka. Na Sales Turnover ikishuka sana si chini ya mil 110+ kwa mwaka

Sababu za kuuza kampuni
Directors wapo wawili na wote ni Professional Engineers. Kila mmoja ana interest ya kuwa na kampuni yake separate. Suala la Technical director wapo humo humo ktk kampn
 
Kampuni ya masuala ya engineering katika upande wa umeme na mechanics inauzwa

Sifa za kampuni
1. Imesajiliwa mwaka 2008 na kuanza rasmi kazi zake mwaka 2010 baada ya kupata usajili CRB

2. Ina healthy client portfolio ya zaidi ya 100 clients

3. Imeshafanya na inafanya sana miradi mikubwa ya watu, makampn binafsi na serikali pia eg REA

4. Ipo active hadi ss na inafanya operations zake kama kawaida

5. Ina assets za kutosha

6. Madeni yapo ya kawaida tu hasa upande wa VAT (unaweza kuoffset VAT A/c). HAINA DENI BENKI

7. Location: Ipo Mbezi beach, mitaa ya Jogoo, plot 24, Block B

8. Bei: Itategemea wataka kununua kwa mtindo
A: Kuwalipa pesa itakayokubalika ambapo madeni utayarithi au
B:Kulipa jumla pamoja na madeni

Kwa kikao na majadiliano ya kina check us through
Email: info@afrolink.co.tz
Mobile: 0659 211 222/ 0777 777 766

Karibuni
Kampuni za ujanjaujanja hizi, husemi assets na project mnazoendesha kwasasa
 
VAT: hapana ipo katika 'digit 8'

Class: Daraja la 4

Volume: Projects kubwa na ndogo zinafika zaidi ya 20 kwa mwaka. Na Sales Turnover ikishuka sana si chini ya mil 110+ kwa mwaka

Sababu za kuuza kampuni
Directors wapo wawili na wote ni Professional Engineers. Kila mmoja ana interest ya kuwa na kampuni yake separate. Suala la Technical director wapo humo humo ktk kampn
Wafanyakazi wanaokula NSSF wanawezakua wangapi roughly?

CEO wanakuachia?Yupoje?Ni engineer au?

Office ni ya kampuni owned au mpangisho?
 
Jifunze kuwa na hekma na busara na ustaarabu ktk mambo ya msingi. Unahitaji details za ndani unakaribishwa ofisini kuona faili lote na kujiridhisha. Mara ngapi hapo juu pameandikwa ufike ofisini na umeelwkezwa ofisi zilipo. Sijapenda lugha yako Mkuu!
Hb angalia wenzio wanaouliza!
Kampuni za ujanjaujanja hizi, husemi assets na project mnazoendesha kwasasa
 
Jifunze kuwa na hekma na busara na ustaarabu ktk mambo ya msingi. Unahitaji details za ndani unakaribishwa ofisini kuona faili lote na kujiridhisha. Mara ngapi hapo juu pameandikwa ufike ofisini na umeelwkezwa ofisi zilipo. Sijapenda lugha yako Mkuu!
Hb angalia wenzio wanaouliza!
Achana nae huyo mkuu....

Pay him no mind!
 
Back
Top Bottom