Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 425
- 955
Kampuni ya masuala ya engineering katika upande wa umeme na mechanics inauzwa
Sifa za kampuni
1. Imesajiliwa mwaka 2008 na kuanza rasmi kazi zake mwaka 2010 baada ya kupata usajili CRB
2. Ina healthy client portfolio ya zaidi ya 100 clients
3. Imeshafanya na inafanya sana miradi mikubwa ya watu, makampn binafsi na serikali pia eg REA
4. Ipo active hadi ss na inafanya operations zake kama kawaida
5. Ina assets za kutosha
6. Madeni yapo ya kawaida tu hasa upande wa VAT (unaweza kuoffset VAT A/c). HAINA DENI BENKI
7. Location: Ipo Mbezi beach, mitaa ya Jogoo, plot 24, Block B
8. Bei: Itategemea wataka kununua kwa mtindo
A: Kuwalipa pesa itakayokubalika ambapo madeni utayarithi au
B:Kulipa jumla pamoja na madeni
Kwa kikao na majadiliano ya kina check us through
Email: info@afrolink.co.tz
Mobile: 0659 211 222/ 0777 777 766
Karibuni
Sifa za kampuni
1. Imesajiliwa mwaka 2008 na kuanza rasmi kazi zake mwaka 2010 baada ya kupata usajili CRB
2. Ina healthy client portfolio ya zaidi ya 100 clients
3. Imeshafanya na inafanya sana miradi mikubwa ya watu, makampn binafsi na serikali pia eg REA
4. Ipo active hadi ss na inafanya operations zake kama kawaida
5. Ina assets za kutosha
6. Madeni yapo ya kawaida tu hasa upande wa VAT (unaweza kuoffset VAT A/c). HAINA DENI BENKI
7. Location: Ipo Mbezi beach, mitaa ya Jogoo, plot 24, Block B
8. Bei: Itategemea wataka kununua kwa mtindo
A: Kuwalipa pesa itakayokubalika ambapo madeni utayarithi au
B:Kulipa jumla pamoja na madeni
Kwa kikao na majadiliano ya kina check us through
Email: info@afrolink.co.tz
Mobile: 0659 211 222/ 0777 777 766
Karibuni