Kampuni ya mambo ya engineering inauzwa!

Kampuni ya mambo ya engineering inauzwa!

1. Wafanyakazi
Jumla walikuwa 15 ila tulishauri wapunguzwe kwa sasa wapo 6 kutokana na kuwa na nia ya kuuzwa kwa kampuni

2. CEO
Hapana labda ukitaka kumuajiri kwa mkataba maalum kwn wote wanaondoka (wamiliki) . Ila wapo professional engineers ambao ni staffs

3. Ofisi
Wamepanga sio mali ya kampuni
 
Back
Top Bottom