Kampuni ya Kiwi Shoe Polish Mjitafakari

Kweli mkuu , watupe vitu ambavyo tutatumia tukifurahia matumizi yake
 
Ni kweli. Kiwi changamoto yake kubwa ni kwenye hiyo kitu ya kufungulia, mara nyingi siyo imara. Inakàtika au chomoka na kuleta usumbufu wakati wa kufungua mkebe. Wanatakiwa waboreshe hapo.
Yaan hako kakitu kakikatika 🤣 asee kuna na ile situation ya kujigawa vipande vipande
 
Mbona zipo kopo za kufungua mfuniko? Hiyo uliyonunua ni ya bei rahisi. Nenda supermarket utazikuta za kisasa. Na hazigandi.
 
Hapo ni sawa sawa useme kampuni ya Michelin ijitafakari tumechoka matairi ya rubber sasa tunataka matairi ya chuma sababu zama zimebadirika barabara ni za zege na chuma inatembea juu ya zege
Wao wamebadilika fikiria kutoka Tairi za kujaza upepo mpaka Tubeless sio kitu kidogo mkuu 🤣 ila kiwi hapana
 
Oooh sawa mkuu, huku kwetu naona ni mtihani kupata vitu vizuri

Hamwezi pata vitu vizuri huko uswahilini. Zipo Kiwi kwenye kikopo kama cha mafuta na katika hali ya umate mate. Halafu kuna zile za kwenye kichupa mbele kina sponge, halafu kuna za ku spray. But hizo tunanunua supermarkets hasa za Obay, M.City.Mikocheni.

Huwezi zikuta Mchambawima, Makunduchi, Bwegeni, Mnyamani, Tandale kwa Tumbo, Yombo Vituko, Temeke kwa mfuga mbwa, Keko n.k huwezi zikuta huko.
 
Jamaa wana heshima yangu kwa wakati wote 🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…