Poleni na majukumu wapendwa.Mimi ni mwanafunzi kwa sasa nipo Sweden nafanya kadegree ka Engineering Survey,Ndoto yangu ni kwamba baada ya shule nirudi nyumbani na lengo ni kujiajiri.Natamani sana kuwa na kampuni ya Engineering and Land Survey ila ndo hivyo niliondoka 2008 nchini baada ya kumaliza form six,so sina detail za kutosha kuhusu yafuatayo,kama kuna mwenye ufahamu naomba anijuze pia kama kuna mwenye lengo la kufanya kazi na mimi katika hili tuwasiliane:
1.Demand ya surveying services iko vipi nchini kwa sasa?
2.Is it possible kwa graduate kumiliki kampuni au wanataka experience?Actually nimefanya field attachments za kutosha na kazi naijua sema sina vyeti vya previous employment as they could need, may be!
3.Ni vifaa gani basic kuanza navyo kulingana na nature ya kazi zilizopo ili nije navyo ninavyograduate october this year?...With my poor budget,nilikuwa najaribu kujibana hapa walau nipate total station moja na levelling machine moja.Tell me your ideas.
Naamini sote ni ndugu,maendeleo ya mmoja ni maendeleo ya wote.Tafadhari naomba msaada wa mawazo..Feel free kama unahisi we can work together,as two or three I do hope we can have more solid Company.
​
1.Demand ya surveying services iko vipi nchini kwa sasa?
2.Is it possible kwa graduate kumiliki kampuni au wanataka experience?Actually nimefanya field attachments za kutosha na kazi naijua sema sina vyeti vya previous employment as they could need, may be!
3.Ni vifaa gani basic kuanza navyo kulingana na nature ya kazi zilizopo ili nije navyo ninavyograduate october this year?...With my poor budget,nilikuwa najaribu kujibana hapa walau nipate total station moja na levelling machine moja.Tell me your ideas.
Naamini sote ni ndugu,maendeleo ya mmoja ni maendeleo ya wote.Tafadhari naomba msaada wa mawazo..Feel free kama unahisi we can work together,as two or three I do hope we can have more solid Company.
​