Mjomba kazola
Member
- Mar 25, 2017
- 33
- 14
habari zenu wadau
Naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu ilipo kampuni ya Daima InfoTech solution
Naomba anielekeze ili niweze kufika nina shida nahitaji kuulizia pale. Nasikia ipo barabara ya bagamoyo road ila sijajua ni sehemu gani?
Asanteni.
Naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu ilipo kampuni ya Daima InfoTech solution
Naomba anielekeze ili niweze kufika nina shida nahitaji kuulizia pale. Nasikia ipo barabara ya bagamoyo road ila sijajua ni sehemu gani?
Asanteni.