pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 52
- 122
wakuu naomba kuuliza nawezaje pata kazi kwenye kiwanda cha asas maziwa ata kusambaza tu kwenye gari kulelekea wateja kama una connection nijuze
Kuna ajira kibao hasa kule Iringa ila Kijiji sikumbuki,wakuu naomba kuuliza nawezaje pata kazi kwenye kiwanda cha asas maziwa ata kusambaza tu kwenye gari kulelekea wateja kama una connection nijuze
Unataka ajira au maziwa?wakuu naomba kuuliza nawezaje pata kazi kwenye kiwanda cha asas maziwa ata kusambaza tu kwenye gari kulelekea wateja kama una connection nijuze
huwezi kupata kazi kama wewe sio kobazi au ushungi.wakuu naomba kuuliza nawezaje pata kazi kwenye kiwanda cha asas maziwa ata kusambaza tu kwenye gari kulelekea wateja kama una connection nijuze