bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,371
- 24,606
Hapo ni sawa na baba mjinga ana shamba wameshindwa kulilima na familia yake wamempa Mtu mwingine alilime kwa malipo ya shibe tu.
Baada ya miaka shamba halifai kitu halina rutuba.
Baada ya miaka shamba halifai kitu halina rutuba.