johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,757
Serikali ya Zanzibar imeingia mkataba na kampuni ya AGL ya Afrika kusini kusimamia Uendeshaji wa Bandari
Waziri wa Bandari Zanzibar amesisitiza kuwa Bandari haijabinafsishwa bali AGL watasimamia Uendeshaji wake kulingana na Masharti ya mkataba
Source ITV Habari
Waziri wa Bandari Zanzibar amesisitiza kuwa Bandari haijabinafsishwa bali AGL watasimamia Uendeshaji wake kulingana na Masharti ya mkataba
Source ITV Habari