Kampuni ya Africarriers iliyoingia Mkataba wa Mabasi na Simba Sports Club ni mali ya nani?

DUNIA ina mambo kweli wala sio kidogo

Sasa wewe ukienda tandika bado unauliza daladala za kariakoo ziko wapi, umewajulia wapi wauza magari wa jijini? Au umejulia wapi michezo michafu ya biashara ya magari, gari zinaibiwa arusha zinauzwa kenya na zinazoibiwa kenya zinauzwa Arusha na moshi au hata hili haujui hadi uelekezwa umeanza mara dunia ya leo kweli
 
sasa hao matajiri wanatakiwa wawe makini sana...ipo siku wataipata hasala kuu....kama vile walivyokuwa wanafanyaga wale wa magari ya matenki ya mafuta....walikuwa wanaenda wanauza mafuta yote harafu gari lachomwa moto...mwambie fida abadilike...stress huwafanya watu wawe kama wanyama....
Nakumbuka Dereva wa MO alipewa mzigo wa Piki Piki Boxer apeleke kusini,walipofika Mbagala wakachukua Piki Piki zote na kutelekeza gari. Baada ya msako yule Dereva alikamatwa lakini hakuna Boxer hata moja iliyopatikana. Yule Dereva akapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe,MO akaenda pale akiwa kavurugwa balaa,alipofika pale anamwamrisha RPC wa Temeke ampige sana yule Dereva mpaka aseme Boxer zipo wapi,RPC akamuuliza unamlipa mshahara tshs ngapi MO akaa kimya,yule Dereva akasema analipwa 150k na hakuna posho.

Yule RPC akamuwakia sana MO akamwambia huu ni uzembe wako,haiwezekani unamkabidhi mtu mzigo wa mamilioni huku mshahara wake ukiwa 150k,RPC akasema hapa hakuna kesi,hatutaki ujinga namwachia Dereva mtajuana wenyewe huko. Kweli Dereva akaachiwa,ikawa imeisha hiyo. MO akashindwa kwenda popote sababu hii issue ilitokea kipindi cha Jiwe,tena kipindi MO alipotoka kutekwa na kuvalishwa kanga.
 
Watu kama nyie hua tunawuza bei rahisi kabisa tena bila dalali maisha yanasogea unajua kuna watu mnatakiwa muwe biashara kabisa
Na kitu kinachokuja kufurahisha zaidi ni hawa watu wenye asili ya KIHINDI, KIARABU na KIZUNGU kurudisha kampuni za watu.

Hapo ndio utaona taswira halisi ya KIUCHUMI ya TANZANIA 🇹🇿. UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 umeshikiliwa na WATANZANIA WEUSI. Hao unaowaona mstari wa mbele ni wafanyakazi tu.

Hii kampuni ya AFRICARRIERS ni kampuni inayomilikiwa na WATANZANIA WEUSI na hata pale HOTELI YA KILIMANJARO walipofanya makabidhiano ya hayo mabasi matatu [ 3 ] pia ni hoteli ya MTANZANIA MWEUSI.

Anayemiliki kampuni ya AFRICARRIERS ndio mmiliki halali wa hoteli ya KILIMANJARO na ndio mmiliki halali wa timu ya mpira ya SIMBA SC kupitia LESENI YA KLABU. Hao WATU WEUPE hapo ni wauza sura tu.
 
Watoto wa mjini wanaijua africarriers kitambo hicho 1993-94 CTN TV Inatamba mjini matangazo kibao ya magari enzi hizo kina Ephraim Kibonde wanatamba na taarifa ya habari, Africarriers wanawadhamini kina Mzee Small, Majuto vichekesho cheka na CTN.

Kama umakuja mjini juzi uliza kwanza.
 
Hao ni WAFANYAKAZI tu lakini wamiliki halali ni WATANZANIA WEUSI .

Hivi nikuulize swali, DUNIA YA LEO unaweza kuwa na mtandao wa wizi wa magari mpaka JAPANI na AFRIKA YA KUSINI na usikamatwe?

Yaani wewe mpaka umefahamu kuwa kuna mtandao wa wizi wa magari, angelikuwa ameshakamatwa na MAMLAKA YA SERIKALI tangu siku nyingi.

Na sio vizuri kusema UONGO kama huu kwenye mitandao ya kijamii, unaharibu wasifu wa MTU. Hao ni WAFANYAKAZI lakini wamiliki halali ni WATANZANIA WEUSI .
Wewe fala sana tena usiniquote tena, mimi nimenunuwa gari kwa Fidahussein kwa cash, Interpol huwa wanakujaga Tanzania kufanya oparesheni ya kukamata magari ya wizi na mimi nilisimamishwa walipoikaguwa gari yangu kuna secret code zao wanaitambuwa, nilishushwa kwenye gari ikapelekwa central.

Baada ya kumpa taarifa Fida ni yeye mwenyewe ndio alikwenda kuitowa na kunikabidhi ile gari.

Usipende kurukia vitu usivyovijuwa, ukiwa na gari yako ukipeleka kwa Fida unabadilisha unaongeza hela unachukuwa gari nyingine wenyewe wanaita kuvunja, yeye analipeleka body anapiga rangi anaweka show room, kima kama wewe unakuja kununuwa huku ukijuwa ni used from Japan.
 
Watoto wa mjini wanaijua africarriers kitambo hicho 1993-94 CTN TV Inatamba mjini matangazo kibao ya magari enzi hizo kina Ephraim Kibonde wanatamba na taarifa ya habari, Africarriers wanawadhamini kina Mzee Small, Majuto vichekesho cheka na CTN.

Kama umakuja mjini juzi uliza kwanza.
Ndio hao! Yaani hii kampuni ya AFRICARRIERS ina mahusiano ya moja kwa moja na UMOJA WA KAMPUNI ZA SUPERGROUP.
 
Wewe fala sana tena usiniquote tena, mimi nimenunuwa gari kwa Fidahussein kwa cash, Interpol huwa wanakujaga Tanzania kufanya oparesheni ya kukamata magari ya wizi na mimi nilisimamishwa walipoikaguwa gari yangu kuna secret code zao wanaitambuwa, nilishushwa kwenye gari ikapelekwa central.

Baada ya kumpa taarifa Fida ni yeye mwenyewe ndio alikwenda kuitowa na kunikabidhi ile gari.

Usipende kurukia vitu usivyovijuwa, ukiwa na gari yako ukipeleka kwa Fida unabadilisha unaongeza hela unachukuwa gari nyingine wenyewe wanaita kuvunja, yeye analipeleka body anapiga rangi anaweka show room, kima kama wewe unakuja kununuwa huku ukijuwa ni used from Japan.
Ila wewe Matola huwa una matusi sana! Halafu mimi huwa nakuangalia tu jinsi unavyotukana watu humu JAMII FORUMS 😁😁
 
Kuna ka tetesi kwamba wamiliki wengi wa hizo Eicher zinazopiga daladala hapo Dar 90% ni wahindi wenye asili ya Delhi...hii ni kweli bwana MO29?
Hapana! Hiyo kampuni ya EICHER [ huwa inatamkwa "AISHA" ] ni kampuni ambayo HAYATI MWALIMU anamiliki HISA, MWASHITA pia wanamiliki HISA na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 wanamiliki HISA kwenye hicho kiwanda cha kutengeneza magari ya EICHER [ AISHA ]. Ndio maana kuna kipindi fulani hizi gari zilikuwa ni nyingi sana kwa upande wa TANZANIA.
 
Ushaambiwa wewe wakuja mjini, unajua magari yanayokamatwa Uganda, Tanzania Kenya yaliyouzwa kutokea south africa, au unajiongelea tu
Kuna mwaka flani walikamata ndinga zimeibwa South africa moja ya gari zilizokuwepo ni Toyota fortuner zilikiwepo hapo police central jijini Daslam kama miaka mitatu iliyopita inaonekana kuna mtandao mrefu sana.
 
Kuna mwaka flani walikamata ndinga zimeibwa South africa moja ya gari zilizokuwepo ni Toyota fortuner zilikiwepo hapo police central jijini Daslam kama miaka mitatu iliyopita inaonekana kuna mtandao mrefu sana.
Kama unavyoona mtandao wa wasafirisha mirungi, mtandao wa wasafirisha unga, mtandao wa wasafirisha wahamiaji haramu. Hivyo yani.
 
Hapana! Hiyo kampuni ya EICHER [ huwa inatamkwa "AISHA" ] ni kampuni ambayo HAYATI MWALIMU anamiliki HISA, MWASHITA pia wanamiliki HISA na SERIKALI YA TANZANIA wanamiliki HISA kwenye hicho kiwanda cha kutengeneza magari ya EICHER [ AISHA ]. Ndio maana kuna kipindi fulani hizi gari zilikuwa ni nyingi sana kwa upande wa TANZANIA.
Ndio maana wengine tunakuona kama taahira hapa, Nyerere na mambo ya hisa wapi na wapi?

Au tukuitie Andrew Nyerere?
 
Hapana! Hiyo kampuni ya EICHER [ huwa inatamkwa "AISHA" ] ni kampuni ambayo HAYATI MWALIMU anamiliki HISA, MWASHITA pia wanamiliki HISA na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 wanamiliki HISA kwenye hicho kiwanda cha kutengeneza magari ya EICHER [ AISHA ]. Ndio maana kuna kipindi fulani hizi gari zilikuwa ni nyingi sana kwa upande wa TANZANIA.
Simaanishi hisa za kampuni ya eicher ....namaanisha gari zinazopiga daladala aina ya Eicher hapo dar nyingi ni za wahindi?
Maana nimewahi kusikia zaidi ya mara tatu madereva na makonda wanasema hivyo.
 
Unatetea wabongo wasio na kitu....kama wamiliki ni wabongo kwa nini hujificha?
Au wabongo wanalipa kodi zaidi ya wahindi ndio maana hujificha na kuwaweka wahindi mbele kwenye mali zao kilicho nyuma ya pazia ni nini hasa?
Hizo EICHER zinamilikiwa na WANASIASA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ pamoja na waliokuwa VIONGOZI WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 na kwenye hicho kiwanda cha kutengeneza magari ya EICHER kuna WATANZANIA wanamiliki HISA ndio maana kuna kipindi hizo gari zilikuwa nyingi kwa upande wa DAR ES SALAAM na baadhi ya mikoa ya TANZANIA.
 
Back
Top Bottom