Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Nadhani ukienda kwenye vyombo vya serikali haitakua tofauti na hii Kwa upande wa SimbaSiasa za Simba na Yanga zipo complicated sana sawa na CCM ilivyoshikiliwa na dola.
Wataishia kuwa wadhamini ila wenye timu wakiamua wanakutimua mchana kweupe.
Simba na Yanga ni sehemu ya serikali, huwezi imiliki kama yako.