kampuni -mikopo ya viwanja dar

kampuni -mikopo ya viwanja dar

omereyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
308
Reaction score
91
sikuhz kuna kampuni nyingi dar es salaam zinazojihusisha na mikopo tajwa hapo juu.ni nini kimefichika kwenye hizi kampuni.je,zimesajiliwa kwa shughuli hizo au ni utapeli mtupu wabongo wanalizwa?
 
sikuhz kuna kampuni nyingi dar es salaam zinazojihusisha na mikopo tajwa hapo juu.ni nini kimefichika kwenye hizi kampuni.je,zimesajiliwa kwa shughuli hizo au ni utapeli mtupu wabongo wanalizwa?
Ni kuwa makini zipo nyingi tu za ukweli wananunua Mashamba wanakupeleka site unaona viwanja unachagua kisha unalipa kwa cash,kidogo kidogo,au Mkopo kupitia bank ukimaliza kulipia uwanja unapewa hati.
 
Syo kweli Yapo makampuni ambayo unapata Kiwanja Kwa Mkopo

Ova
 
Back
Top Bottom