Tetesi: kampuni la kuchimba madini lasitisha rasmi kupitisha mizigo yake bandari ya dar es salaam?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
taarifa za uhakika zinasema kampuni la kuchimba madini Glencore linajipanga kuachana na biashara ya kupitisha mizigo yake Tanzania kutokana kile kinachosemwa kuwa ni figisu-figisu za kodi zisizoeleweka. mizigo yake sasa itapita Durban kwa Madiba. hii ina maana Tanzania itapoteza mapato iliyokuwa ikipata kutoka katika mzigo wa madini ya shaba ya tani 20,000 kila mwezi yaliyokuwa yakipita bandari ya salama kwenda ughaibuni. Tusisahau tena kuwa vijana wetu kwa mamia watapoteza ajira. pia vikampuni vidogodogo vitajiuliza 'ikiwa mwenye tani elf 20 kwa mwezi anasepa sisi wa tani 1000, 2000, 3000 tunabaki kufanya nini?'

hatari ni aje?
 
hii ina maana Tanzania itapoteza mapato iliyokuwa ikipata kutoka katika mzigo wa madini ya shaba ya tani 20,000 kila mwezi yaliyokuwa yakipita bandari ya salama kwenda ughaibuni.
Wacha waende tu huu ni wakati wa kulipa kodi na tena kwa wakati
 
waendeee tu kwanza madini hayaozi walipe kodi muda huu nimemaliza kunywa soda nimepewa stakabadhi halali.......
 
Matusi hayo
 
Kwa hiyo Durban wanaenda kukwepa kodi au watalipa kidogo..japo ningeshauri kurekebisha viwango vya kodi kwa mizigo ya bandari ili kupata mizigo mingi then mapato yabaongezeka kwa wingi..yaani regulate custom cost to impress more importation...
 
Hahaha hahaha hatare tutalipia kodi mpaka midoli yetu ya majumbani
 
nchi iliyojaa mtaahira haina mwelekeo, wanadhani watapandisha kila kodi hovyo hovyo na wateja watasema ndiooo. upuuzi mtupu hii awamu ya tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…