Kampuni ipi nzuri ya Ulinzi hapa Tanzania?

Kampuni ipi nzuri ya Ulinzi hapa Tanzania?

Pep

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
2,338
Reaction score
5,490
Hello wanajamvi.

Ninahitaji msaada ipi kampuni nzuri ya ulinzi hapa Tanzania.

Kuna kampuni mpya ya jamaa yangu inahitaji ku hire Security Co ila hjawa certain sana aitumie ipi kwa zilizopo Tanzania.

Kwa anayezifahamu vizuri msaada tafadhali.

Natanguliza shukrani
emoji120.png
emoji120.png
emoji120.png
 
Hello wanajamvi.

Ninahitaji msaada ipi kampuni nzuri ya ulinzi hapa Tanzania.

Kuna kampuni mpya ya jamaa yangu inahitaji ku hire Security Co ila hjawa certain sana aitumie ipi kwa zilizopo Tanzania.

Kwa anayezifahamu vizuri msaada tafadhali.

Natanguliza shukrani
Kampuni nzuri ni zilizotoka nje ya nchi kama,

1. G4S

2.KK

3. Ultimate nk

4. Knight support
- Ila ni gharama kidogo ukilinganisha na kampuni za ndani
 
Nikapishana na gari imeandikwa "Mkikute Security.." nikasema basi sawa nitakikuta tu.
 
Hello wanajamvi.

Ninahitaji msaada ipi kampuni nzuri ya ulinzi hapa Tanzania.

Kuna kampuni mpya ya jamaa yangu inahitaji ku hire Security Co ila hjawa certain sana aitumie ipi kwa zilizopo Tanzania.

Kwa anayezifahamu vizuri msaada tafadhali.

Natanguliza shukrani
emoji120.png
emoji120.png
emoji120.png

Kk
 
Ulinzi wa Uhakika njoo SUMAJKT GUARD
Hutajutia mkuu, Vijana wako timamu.
 
Back
Top Bottom