Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Ha haa haaaa.... mkuu wewe sio mtu wa mchezo mchezo...Serengeti Breweries ndio kiboko cha kujitangaza. Tangazao lao la bia mpya ya sengereti limewagusa mpaka chekechea mitaani.
Ingawa bidhaa yao ina ukomo wa umri wa watumiaji kama sikosei miaka 18 kuelekea mpaka ukipenda kaburini. Cha kushangaza leo nimepishana na mtoto kama wa miaka 5 hivi ua chini ya hapo kidogo, akiamba wimbo wa "lete bia ninywe" wahusika mtusaidie tuokoe taifa la kesho.
Nimechomekae tu lakini, kwa sauti ya mh Rais Magufuli.
Na washawasha!