nilikuwa hapa kwenye uwanja wa kufunga kampeni za udiwani hapa kata ya Tungi Moro kwa Chama cha Mapinduzi
namuona Mzee Mangula, watu waliohudhuria ni kama watu 100 poor them!
Hamuwajuwi waruguguru nyie subirini kesho!
huyu aliyeandika taarifa hii si mchambuzi wala mjuaji wa mambo ya siasa.kata yenyewe ina wakazi wapatao 3000 waliojiandikisha na watakaopiga kura hawatozidi 1800 sasa mangula kupata watu 100 ni sawa kabisa.mkutano wa mbowe ulikusanya wakazi wote wa manispaa.moderators wa jamii forum muangalie cha kupost.sometimes rubish.nilikuwa hapa kwenye uwanja wa kufunga kampeni za udiwani hapa kata ya Tungi Moro kwa Chama cha Mapinduzi
namuona Mzee Mangula, watu waliohudhuria ni kama watu 100 poor them!
huyu aliyeandika taarifa hii si mchambuzi wala mjuaji wa mambo ya siasa.kata yenyewe ina wakazi wapatao 3000 waliojiandikisha na watakaopiga kura hawatozidi 1800 sasa mangula kupata watu 100 ni sawa kabisa.mkutano wa mbowe ulikusanya wakazi wote wa manispaa.moderators wa jamii forum muangalie cha kupost.sometimes rubish.
mkuu hicho chama kilikwisha kufa siku nyingi sana , huyo mangula anajitafutia maradhi ya uzeeni tu atuletee lawama .
nilikuwa hapa kwenye uwanja wa kufunga kampeni za udiwani hapa kata ya Tungi Moro kwa Chama cha Mapinduzi
namuona Mzee Mangula, watu waliohudhuria ni kama watu 100 poor them!
nilikuwa hapa kwenye uwanja wa kufunga kampeni za udiwani hapa kata ya Tungi Moro kwa Chama cha Mapinduzi
namuona Mzee Mangula, watu waliohudhuria ni kama watu 100 poor them!