mtotofisi
Member
- Aug 24, 2020
- 27
- 47
KONGWA. Kampení za uchaguzi kuwania ubunge kupitia chama Cha mapinduzi zimeanza Leo tarehe 15-8-2025, zikianzia Kata ya Kibaigwa . Wagombea wapo 13 ikiwemo 7 kati ya 10 waliowania pàmoja na Hayati Ndugai na ingizo jipya ni wagombea 6
Baada ya kifo Cha Ndugai Jumla ya watia Nia 24 walijitupa kwenye kinyang'anyiro Cha kuwania Ubunge Jimbo la Kongwa akiwemó Enginer Hersi Said Rais wa Yanga. Kwa bahati mbaya ameliwa kichwa kwa Mara nyingine
Chama Cha mapinduzi kilitangaza kuwa Uchaguzi kura za maoni katika Jimbo la Kongwa kufanyika Jumapili hii ya tarehe 17
Baada ya kifo Cha Ndugai Jumla ya watia Nia 24 walijitupa kwenye kinyang'anyiro Cha kuwania Ubunge Jimbo la Kongwa akiwemó Enginer Hersi Said Rais wa Yanga. Kwa bahati mbaya ameliwa kichwa kwa Mara nyingine
Chama Cha mapinduzi kilitangaza kuwa Uchaguzi kura za maoni katika Jimbo la Kongwa kufanyika Jumapili hii ya tarehe 17