Kampeni za uchaguzi Kaloleni

Kampeni za uchaguzi Kaloleni

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,193
Reaction score
14,900
Lema anasema mawaziri sita wa serikali ya magamba wako Arusha kupiga kampeni za madiwani.
Anasema wapo mawakala wazuri, Wabunge wa kanda ya kaskazini wote ni mawakala wakiongozwa na Mbowe uploadfromtaptalk1371217914412.jpg
 
CCM wanaitaka arusha kwa udi na uvumba,mmebumburua dili la general tyre,viwanja walivyogawana burka ni kaa la moto,mnanyemelea kuharibu dili la hoteli ya 77,mnapigia kelele mashine za kufulia za mount meru,nk nk.lazima meya ahalalishwe.
 
Namwomba Mungu uchaguzi uwe huru na wa haki,hawa mashetani wasiambulie hata kata moja
 
jpil watakimbia wote wakati wa kuhesabu kura hata kabla ya matokeo kutangazwa,ccm na mkewe mmeshaliwa kubalini yaishe hata mngechanganya zote hamfurukuti
 
CCM wanaitaka arusha kwa udi na uvumba,mmebumburua dili la general tyre,viwanja walivyogawana burka ni kaa la moto,mnanyemelea kuharibu dili la hoteli ya 77,mnapigia kelele mashine za kufulia za mount meru,nk nk.lazima meya ahalalishwe.

dah kwani mashine za mount meru zina nini
 
Ninamunea huruma sana lema, yaani hana plan yeyote hapo kichwani ya maendeleo. anafuata upepo, Sijui kwanini watz wanadangwanywa kiasi hiki, hebu muulize nini anaweza kueleza amewatendea wanachi wa arusha, atakujibu nimewapa ujasiri wa kuandamana, CHADEMA ninawasiufu kwa kufanya maovu na kuwabambikizia wengine, mfano, waliposema CUF wanasapoti ushoga, kumbe wao walikuwa wanauwa soo walivyoenda kuongwa elkopter na david acmeroon wakakubali ushoga, wakaona issue inataka kufichuliwa wakawawai CUF,
 
Ninamunea huruma sana lema, yaani hana plan yeyote hapo kichwani ya maendeleo. anafuata upepo, Sijui kwanini watz wanadangwanywa kiasi hiki, hebu muulize nini anaweza kueleza amewatendea wanachi wa arusha, atakujibu nimewapa ujasiri wa kuandamana, CHADEMA ninawasiufu kwa kufanya maovu na kuwabambikizia wengine, mfano, waliposema CUF wanasapoti ushoga, kumbe wao walikuwa wanauwa soo walivyoenda kuongwa elkopter na david acmeroon wakakubali ushoga, wakaona issue inataka kufichuliwa wakawawai CUF,

Weka orodha ya walio uliwa na jinsi walivyo uliwa. Uthibitisho kuwa walihongwa pia uweke. Jf hatupendi 'umbea'.. Peleka fb 'udaku'.
 
dah kwani mashine za mount meru zina nini

Inasemekana alichukua Kinana akaanzisha Dry Cleaner inayitwa Falcon Kwa Hanari Zaidi Kamanda Ngongo anafahamu
 
Last edited by a moderator:
Copy of SDC17814.JPG
Mkutano wa Kampeni za Udiwani Kata ya Kaloleni viwanja vya kwa Cheusi, kona ya Ilboru ,Juni 14,2013
 
Back
Top Bottom