Kwanini kodi zetu zinachezewa hivi lakini?,hizi pesa zinazotelewa za ruzuku kwa ajili ya kampeni serikali iwe makini sana.Wanachokifanya TLP ni vituko.Wako na Kenta yenye rangi ya chama na wamefunga bendera za TLP,wao kazi ni moja tu kutupigia nyimbo za Mr Nice kuanzia asubuhi mpaka jioni,wanazunguka kuanzia King'ori hadi Tengeru kutwa nzima.What is this?
Mnajijua kabisa kwamba huku hamna mashiko.kwanini msiwe wastaarabu kama CUF walivyofanya?,tuondoleeni uchuro huku Arumeru...
Mnajijua kabisa kwamba huku hamna mashiko.kwanini msiwe wastaarabu kama CUF walivyofanya?,tuondoleeni uchuro huku Arumeru...