Kampeni za TLP Arumeru zinatutia kichefuchefu

yplus

Senior Member
Mar 20, 2012
153
69
Kwanini kodi zetu zinachezewa hivi lakini?,hizi pesa zinazotelewa za ruzuku kwa ajili ya kampeni serikali iwe makini sana.Wanachokifanya TLP ni vituko.Wako na Kenta yenye rangi ya chama na wamefunga bendera za TLP,wao kazi ni moja tu kutupigia nyimbo za Mr Nice kuanzia asubuhi mpaka jioni,wanazunguka kuanzia King'ori hadi Tengeru kutwa nzima.What is this?
Mnajijua kabisa kwamba huku hamna mashiko.kwanini msiwe wastaarabu kama CUF walivyofanya?,tuondoleeni uchuro huku Arumeru...
 
Mbona nyinyi mlikwenda UZINI wakati mkijua for SURE kwamba UZINI hakuna CDM?
Hiyo ndiyo ghrana ya democrasy buddy!
Kwani Fahmu Dovutwa alikuwa na matumaini yeyote ya kushinda kiti cha urais JMT 2010?. Mbon aligombea tena akapewa ulinzi na serikali for 24 hours tangu siku ile tume ilipomuidhinisha kugombea kiti cha U-rais wa JMT.
 
Mbona nyinyi mlikwenda UZINI wakati mkijua for SURE kwamba UZINI hakuna CDM?
Hiyo ndiyo ghrana ya democrasy buddy!
Kwani Fahmu Dovutwa alikuwa na matumaini yeyote ya kushinda kiti cha urais JMT 2010?. Mbon aligombea tena akapewa ulinzi na serikali for 24 hours tangu siku ile tume ilipomuidhinisha kugombea kiti cha U-rais wa JMT.

wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,
 
Mbona nyinyi mlikwenda UZINI wakati mkijua for SURE kwamba UZINI hakuna CDM?
Hiyo ndiyo ghrana ya democrasy buddy!
Kwani Fahmu Dovutwa alikuwa na matumaini yeyote ya kushinda kiti cha urais JMT 2010?. Mbon aligombea tena akapewa ulinzi na serikali for 24 hours tangu siku ile tume ilipomuidhinisha kugombea kiti cha U-rais wa JMT.
sijaona mahali mtoa mada alipoitaja chadema! wandungu mna ny.ege na chadema!
 
Mbona nyinyi mlikwenda UZINI wakati mkijua for SURE kwamba UZINI hakuna CDM?
Hiyo ndiyo ghrana ya democrasy buddy!
Kwani Fahmu Dovutwa alikuwa na matumaini yeyote ya kushinda kiti cha urais JMT 2010?. Mbon aligombea tena akapewa ulinzi na serikali for 24 hours tangu siku ile tume ilipomuidhinisha kugombea kiti cha U-rais wa JMT.

Sio kweli mkuu mbona Dr Slaa amesema wana ngome kule uzini au sijamwelewa?


WanaJF
Karibu tunaingia Uzini. Ratiba imebadilika kidogo. Tutaenda Bambi moja kwa moja kwenye msiba ambako bahati mbaya uko kwenye center tunakozindulia kampeni. Kwa kuwa si shughuli inaweza kuahirishwa tunaenda kwenye msiba badala ya kwenda ngome


WanaJF,
Niko uzini leo siku ya Tatu. Naomba niwahakikishie wanachadema na wapenzi wenu kuwa tutafanya mpaka kieleweke. Uzini wananchi ni waelewa sana. Wanapenda hoja na si porojo. Wanaopiga porojo kwenye jamvi hili au hawajui kinachoendelea on the ground au wanasukumwa na ushabiki tu kama walivyozoea. Uzini na Zanzibar iko tayari kwa mabadiliko makubwa. Uzini tofauti na watu wanavyofikiri Chadema ina matawi sasa kila Shehia katika Shehia (sawa na vijiji au mitaa bara). Jana nimezindua ofisi, matawi,maskani 7 katika majimbo mbalimbali nje ya Uzini mathalan Mfenesini,Magogoni, Bububu na kadhalika. Kwa hakika moto utakaowaka kutokea Bambi(Uzini) tunakozindulia Kampeni yetu kwa hakika utaunguza Zanzibar yote. Kwa bahati mbaya ndani ya Uzini hakuna network isipokuwa Zantel na hata hivyo hakuna mtandao (internet hadi uende mjinZanzibar. Ndio maana hakuna taarifa. Tunaomba radhi. Lakini kuanzia leo waandishi wa habari watakuwepo ambapo jioni wanaweza kuleta habari wakirejea mjini.
Narudia tena wananchi ni wakarimu sana. Kwa kuwa hakuna guesti kabisa wananchi wamewapokea timu yetu ya Kampein kwenye nyumba zao. Hii ni dalili njema. Tunawashukuru sana.
 
sijaona mahali mtoa mada alipoitaja chadema! wandungu mna ny.ege na chadema!

Sijui nikuite kaka au dada maana jina lako halina jinsia, kwanini isifike wakati tukajaribu kuwa wastaarabu? hivi unadhani kwa tabia kama hizi zitatufikisha kokote? najua wewe ni mwanachama wa cdm nakushauri utakapotumia lugha nzuri na laini utaweza kuwashawishi hata wale wasio wanachama wakawa wanachama lakini ukatumia maneno ya kishenzi wale ambao bado wana mashaka na chama utawakimbiza.

We unadhani mleta mada ni kada wa CCM? kama angekuwa ni waccm sidhani angeleta mada hiyo hapa jamvini sometimes read between the lines bro na ujifunze ustaarabu kwani ustaarabu sio kuvaa vizuri na kuchana nywele (kuwa smart) ni zaidi ya hapo.
 
wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,
Nafikiri mpuuzi ni wewe unayedhani kila member ni CDM kwa sababu yplus hajasema yeye ni CDM.
 
Kwanini kodi zetu zinachezewa hivi lakini?,hizi pesa zinazotelewa za ruzuku kwa ajili ya kampeni serikali iwe makini sana.Wanachokifanya TLP ni vituko.Wako na Kenta yenye rangi ya chama na wamefunga bendera za TLP,wao kazi ni moja tu kutupigia nyimbo za Mr Nice kuanzia asubuhi mpaka jioni,wanazunguka kuanzia King'ori hadi Tengeru kutwa nzima.What is this?
Mnajijua kabisa kwamba huku hamna mashiko.kwanini msiwe wastaarabu kama CUF walivyofanya?,tuondoleeni uchuro huku Arumeru...
Tatizo lako hujui hata fedha za kampeni zinapatikanaje! Nani kakueleza kuwa fedha za kampeni ni ruzuku ya serikali? Hili ndilo tatizo la ulevi kutwa nzima!
 
Sijui nikuite kaka au dada maana jina lako halina jinsia, kwanini isifike wakati tukajaribu kuwa wastaarabu? hivi unadhani kwa tabia kama hizi zitatufikisha kokote? najua wewe ni mwanachama wa cdm nakushauri utakapotumia lugha nzuri na laini utaweza kuwashawishi hata wale wasio wanachama wakawa wanachama lakini ukatumia maneno ya kishenzi wale ambao bado wana mashaka na chama utawakimbiza.

We unadhani mleta mada ni kada wa CCM? kama angekuwa ni waccm sidhani angeleta mada hiyo hapa jamvini sometimes read between the lines bro na ujifunze ustaarabu kwani ustaarabu sio kuvaa vizuri na kuchana nywele (kuwa smart) ni zaidi ya hapo.

Umeona tusi hapo? hiyo ni lugha kali na mara nyingi inatumika kufikisha ujumbe kwa haraka zaidi kwa watu wennye vichwa vigumu kama wewe!
 
Kwanini kodi zetu zinachezewa hivi lakini?,hizi pesa zinazotelewa za ruzuku kwa ajili ya kampeni serikali iwe makini sana.Wanachokifanya TLP ni vituko.Wako na Kenta yenye rangi ya chama na wamefunga bendera za TLP,wao kazi ni moja tu kutupigia nyimbo za Mr Nice kuanzia asubuhi mpaka jioni,wanazunguka kuanzia King'ori hadi Tengeru kutwa nzima.What is this?
Mnajijua kabisa kwamba huku hamna mashiko.kwanini msiwe wastaarabu kama CUF walivyofanya?,tuondoleeni uchuro huku Arumeru...
Mwenyekiti taa ya oil inawaka ikizima TLP inapaki!
 
wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,
Sasa hapa mpuuzi ni nani kati yako na hao CHADEMA? Hivi mtoa maada amesema popote kwamba yeye ni CCM au CHADEMA? Umejuaje kama wazo hili limetoka kwa mwanachadema na si mwanaCCM. Haya ndo matatizo ya kutokujiamini. Kitu kidogo tu chadema hao, matokeo yake mnakurupuka kuongea hata msiyoyajua, mnaishia kuumbuka tu. Tumieni akili zenu kuchambua mambo kabla ya kuyaongea bwana.
 
Umeona tusi hapo? hiyo ni lugha kali na mara nyingi inatumika kufikisha ujumbe kwa haraka zaidi kwa watu wennye vichwa vigumu kama wewe!

Neno ulilolitumia sio tusi kwako? unaweza kumwambia mtu unaemheshimu kama dada au baba yako? Ustaarabu hauna gharama jitahidini muwe na ustaarabu ili mje kujenga nchi yenye manufaa. Sasa mkichukua nchi kwa maneno hayo hao watakao kuwa wapinzani si itawabidi wahame nchi?
 
neno ulilolitumia sio tusi kwako? Unaweza kumwambia mtu unaemheshimu kama dada au baba yako? Ustaarabu hauna gharama jitahidini muwe na ustaarabu ili mje kujenga nchi yenye manufaa. Sasa mkichukua nchi kwa maneno hayo hao watakao kuwa wapinzani si itawabidi wahame nchi?

acha unafiki mjomba! Huyu hapa hakutukana?
Au unazi wa kimagamba unakufunga macho kwenye mambo flani flani? Acha hizo:
wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... Mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... Democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

Haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,
 
Sijui nikuite kaka au dada maana jina lako halina jinsia, kwanini isifike wakati tukajaribu kuwa wastaarabu? hivi unadhani kwa tabia kama hizi zitatufikisha kokote? najua wewe ni mwanachama wa cdm nakushauri utakapotumia lugha nzuri na laini utaweza kuwashawishi hata wale wasio wanachama wakawa wanachama lakini ukatumia maneno ya kishenzi wale ambao bado wana mashaka na chama utawakimbiza.

We unadhani mleta mada ni kada wa CCM? kama angekuwa ni waccm sidhani angeleta mada hiyo hapa jamvini sometimes read between the lines bro na ujifunze ustaarabu kwani ustaarabu sio kuvaa vizuri na kuchana nywele (kuwa smart) ni zaidi ya hapo.

Nadhani unapaswa kujibu hoja na sio kuleta viroja.......ni wapi katika muanzisha thread hii alipojitambulisha kwamba yeye ni CHADEMA? au na wewe ni CHADEMAPHOBIAN?.......Huu ni upumbavu wa kifikra.
 
Mbona nyinyi mlikwenda UZINI wakati mkijua for SURE kwamba UZINI hakuna CDM?
Hiyo ndiyo ghrana ya democrasy buddy!
Kwani Fahmu Dovutwa alikuwa na matumaini yeyote ya kushinda kiti cha urais JMT 2010?. Mbon aligombea tena akapewa ulinzi na serikali for 24 hours tangu siku ile tume ilipomuidhinisha kugombea kiti cha U-rais wa JMT.
hee kwani chadema kilishika nafasi ya ngapi??
MAGAMBA AKILI HAKUNA KABISA!
 
Chipaka (mgombea wa TLP) kwa maneno yake mwenyewe alisema anagombea ubunge ili akuze CV yake ingawa anajua atashindwa.
2010 aligombea udiwani kwa Moromboo akashindwa.
 
wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,

You need to cool down jua kwamba kama mahali unaona huna kitu kaa pembeni tu huona kule Wenzetu wanavyofanya ? akishaona jimbo hili sina kitu hana haja ya kupoteza muda bali ni kwenda anakoweza TLP hapa sijui wanataka nini kama si kupoteza pesa zao za kuendeshea chama chao. This is reagardless of the the democracy we have we need to reason out!!!!!
 
wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,

i hate to admit but, you are right wana haki ya kufanya wanachokifanya ili mradi hawavunji sheria.
 
wee said, hapa ndo napoona chadema ni wapuuzi na wabinafsi....yani saizi siasa wanataka wao na ccm tu.... mbona zanzibar mnapeleka wagombea.... democrasia ni ya wote you stupid ****** ata kama wakipata kura moja...

haya moderater futa comment yangu and ban me since i am not pro chadema on this,,,,

Hivi mleta mada amezungumzia kuwa yeye ni CHADEMA? Mbona unakaa kutoa mawazo mavi hapa JF? Yaani wewe kila kitu ni CHADEMA tu..acha ujinga wewe ni mtu mzima tena mwenye famalia.Kufanya ujinga wa namna hii utaonekana kama kichaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom