Godlisten Masawe JF-Expert Member Jul 20, 2011 738 283 Mar 17, 2012 #41 Mkapa kwa nini kamu ua Mwalimu Nyerere, ndio sera ya chama chao ku ua watu ama?
chitambikwa JF-Expert Member Nov 8, 2010 3,941 900 Mar 17, 2012 #42 Za ccm jana kwenye tv yao ni kama watu 10 tu , poleni jamani
T tweve JF-Expert Member Jan 23, 2011 694 146 Mar 17, 2012 #43 mkapa una kesi ya kujibu mahakamani kwanini ulimuua baba wa taifa?
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Mar 17, 2012 #44 MAGEUZI KWELI said: yaani kwa namna hii neno linaingia moyoni wandugu...tar 27 nipo Arumeru kuongeza moto Click to expand... Pamoja Kamanda wangu!
MAGEUZI KWELI said: yaani kwa namna hii neno linaingia moyoni wandugu...tar 27 nipo Arumeru kuongeza moto Click to expand... Pamoja Kamanda wangu!
OSOKONI JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,965 5,336 Mar 17, 2012 #46 Atakaye jaribu kuchakachua tutakunywa kisusio chake bila kujali kina virusi au la!!