Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Wakuu siku hizi mbili kumekuwa na ukame wa picha za kampeni humu jamvini.Nimeziona kwenye uzi wa www.mjengwablog.com Mwenye uwezo wa kuzileta hapa atuletee,maana magamba wasije wakapata visingizio
Picha zinaongea kwa sauti kubwa, atakayejaribu kuchakachua matokeo tutamtenganisha mwili na roho yake kila kimoja kiishi kivyake kwa ukiwa.
wana arumeru msituangushe bunge letu limechangamka na kutuvutia kwa sababu ya uwepo wa changamoto za vijana wa chadema, mpeni kura za kumwaga za ndiyo bwana nasari atatutetea uyu kijana, kumchagua mkwe wa fisadi el, fisadi la richmond (aka richard wa monduli) siyoi ni kulikabidhi taifa kwa mafisadi pia kulirudisha taifa nyuma na kuwasaliti watanzania wenzenu tunaotaabika ktk lindi la umaskini uliotokana na ufisadi wa el (baba mkwe wake siyoi)huu mziki 2015 utanoga zaidi issue ni kwamba kwa sasa hawataki kuandikisha wapiga kura wapya
inahusika na nini wewe???hivi kumbe blog ya mjengwa nayo inahusika!
Hivi kumbe blog ya mjengwa nayo inahusika!
inahusika na nini wewe???
Wakuu siku hizi mbili kumekuwa na ukame wa picha za kampeni humu jamvini.Nimeziona kwenye uzi wa www.mjengwablog.com Mwenye uwezo wa kuzileta hapa atuletee,maana magamba wasije wakapata visingizio
Nadhani umenielewa nilichokuwa namaanisha!
leo ndio umetambua na jina lako la ajabu usijekuta sura yako kialisiha upo kama 2mbili anatisha afadhali ya nyaniHivi kumbe blog ya mjengwa nayo inahusika!