Ni wazi kwamba polisi tayari wamekwisha anza harakati za kuzuia kampeni hiyo; wakidhani kuwadhibiti viongozi wa CHADEMA kila mahali watafanikiwa kuwafanya waTanzania wasisusie uchafuzi huo unaofanyika Oktoba.
Kuwadhibiti viongozi wa CHADEMA hakuzuii tena kuenea kwa kampeni hiyo miongoni mwa wananchi.
Kampeni ya "NO ELECTION", CHADEMA walikwisha maliza wajibu wao siku nyingi, na waTanzania waliwaelewa lengo lililo kusudiwa; la wananchi kutokwenda kuhalalisha kilicho haramu.
Kampeni hiyo sasa ipo mitaani kwa wananchi, kueleweshana ni njia zipi zitatumika kutojihusisha na uchafuzi huo. Haihitaji tena viongozi wa CHADEMA kwenda majukwaani na kueleza wananchi watasusia vipi uchafuzi huo.
Kampeni sasa inatembea mtu kwa mtu, ndani ya vyombo vya usafiri, vilabuni na kila mahali waTanzania wanapokutana wawili au zaidi. Polisi hawawezi kuzuia chochote katika mpangilio huo.
Polisi wakitaka kuizuia kampeni hiyo itawalazimu wakawakamate wananchi huko kwenye mitaa yao.
Kuwadhibiti viongozi wa CHADEMA hakuzuii tena kuenea kwa kampeni hiyo miongoni mwa wananchi.
Kampeni ya "NO ELECTION", CHADEMA walikwisha maliza wajibu wao siku nyingi, na waTanzania waliwaelewa lengo lililo kusudiwa; la wananchi kutokwenda kuhalalisha kilicho haramu.
Kampeni hiyo sasa ipo mitaani kwa wananchi, kueleweshana ni njia zipi zitatumika kutojihusisha na uchafuzi huo. Haihitaji tena viongozi wa CHADEMA kwenda majukwaani na kueleza wananchi watasusia vipi uchafuzi huo.
Kampeni sasa inatembea mtu kwa mtu, ndani ya vyombo vya usafiri, vilabuni na kila mahali waTanzania wanapokutana wawili au zaidi. Polisi hawawezi kuzuia chochote katika mpangilio huo.
Polisi wakitaka kuizuia kampeni hiyo itawalazimu wakawakamate wananchi huko kwenye mitaa yao.