Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 738
Hivi jamani hii nafasi ya vyama kupewa Airtime na TBC ni kwa ajili ya Urais au na ubunge?
Sioni kama kuna tija kufanya kampeni ya Ubunge wa jimbo moja kwa matangazo ya Nchi nzima wakati mgombea Urais wa chama hicho hicho hajawahi kusikika zaidi ile show ya ATN.
Mbatia kwa hapo sijakuelewa.
Huyu Mzee Hashim amekuwa kama ndio Mgombea ubunge halafu Mbatia mgombea urais, maana hata kampeni za mikoani tumewahi kusikia huko Kigoma aligombea gari na Mgombea ubunge na mgombea wao baada ya kujikuta mgombea urais hana usafiri.
Ahh kwa pembeni kuna DJ anapiga jingle la Mbatia!
Sioni kama kuna tija kufanya kampeni ya Ubunge wa jimbo moja kwa matangazo ya Nchi nzima wakati mgombea Urais wa chama hicho hicho hajawahi kusikika zaidi ile show ya ATN.
Mbatia kwa hapo sijakuelewa.
Huyu Mzee Hashim amekuwa kama ndio Mgombea ubunge halafu Mbatia mgombea urais, maana hata kampeni za mikoani tumewahi kusikia huko Kigoma aligombea gari na Mgombea ubunge na mgombea wao baada ya kujikuta mgombea urais hana usafiri.
Ahh kwa pembeni kuna DJ anapiga jingle la Mbatia!