Kampeni ya kataa ndoa

Naona lengo si kuharibu taasisi ya ndoa, ila kuharibu ujenzi wa familia kamili, kwa kuwa familia inaweza tengenezwa bila ya kuwepo ndoa, wapo watu wamekaa pamoja miaka kibao na watoto mpaka wakaamua Sasa wafunge ndoa , shida ni kuharibu family system ambayo ni muhimu kujenga maadili ya mtu.
Mtu hujengwa na baba imara na mama mtiifu kwa kufundisha njia iliyo sahihi na kufundishwa SHERIA za kufuatwa , hii ndo familia inayotafutwa na freemasons kuiharibu na Wala si ndoa.
 
KATAA NDOA KATAA NDOA KATAA KUOA ni kauli mbiu ya millennials and above haina mjadala mtuache kila mtu aishi Maisha yake
 

KATAA UALIMU

KATAA UMASKINI
 
ndoa ni fumbo gumu sana. Inaweza kua ndo experience nzuri kuliko zote kwenye maisha yako, au mbaya kuliko zote. Sisi #kataa ndoa, tunaogopa kuumizwa....
Kwa hiyo unamaanisha watu wazaliane bila utaratibu wowote. Hasa Wanaume wawape wanawake mimba watajua wenyewe mtoto atazaliwaje, atalelewaje. Hizi ni fikra mfu kabisa.
 
Wewe umesema kweli
 
Kwa hiyo unamaanisha watu wazaliane bila utaratibu wowote. Hasa Wanaume wawape wanawake mimba watajua wenyewe mtoto atazaliwaje, atalelewaje. Hizi ni fikra mfu kabisa.
Mond ana watoto kijiji, hajao
P-Diddy ana watoto kijiji hana mpango wa kuoa
CR7 ana watoto kijiji, hajaoa

Ndoa ni Utapeli
Sanuka sasa KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…