Elections 2010 Kampeni ya Dk. Slaa Karatu na Arusha Katika Picha

Mkuu Dopas,
kwa sababu hiyo, mimi hiyo blogu ya michuzi wala siifungui siku hizi, nimemshtikia anataka kutufanya wote ni malofa..
Actually, nime-delete toka kwenye favourites. To hell, kama kuna nyuuzi tutazipata tuu toka vyanzo vingine vingi ambapo ni wakweli!

Michuuzi na aelewe kwamba saa ya mabadiliko imewadia na hawezi kuuzuia kwa kutoweka picha za matukio ya Dr.Slaa. Akubali matokeo na ili blog yake iwe ya watu wote ni vema akazingatia balance. Dr.Slaa songa mbele hata wabane wataachia tu.
 
Arusha
 

Attachments

  • Mazaa.JPG
    Mazaa.JPG
    352.3 KB · Views: 34
  • Lema.JPG
    Lema.JPG
    279.3 KB · Views: 39
  • Nyomi.JPG
    Nyomi.JPG
    457.3 KB · Views: 33
  • Bango.JPG
    Bango.JPG
    289.4 KB · Views: 32
  • Slaa Lema.JPG
    Slaa Lema.JPG
    355.2 KB · Views: 34
Mtanzania, muda wa ukombozi ni sasa.

Hamasisha 'mwenzako', jirani zako, wafanyakazi wenzako, wafanyabiashara wenzako, na wengineo kuwa nao pia wahamasishe wenzao vilevile, na siku ya kupiga kura (Oktoba 31) wote twende kupiga kura kwa Dr. Slaa na wabunge wa chama chake.

Kura yako MOJA ni muhimu sana ili kufikia MAMILIONI yatakayoleta USHINDI na kumpeleka Dr. Slaa ili akasafishe UOZO na UFISADI uliopo sasa.
 
DR SLAA ALIVYOTINGISHA ARUSHA



Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maelendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akihutubia moja ya mikutano minne ya hadhara ya kampeni jijini Arusha jana.

Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mzee Edwin Mtei, akiwahutubia wakazi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake, katika moja ya mkutano wa hadhara wa kampeni za mgombea wa urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, jana
Sehemu ya maelfu ya wakazi wa mji wa Arusha, wakimpungia mikono mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa wakati wa mkutano wake wa kampeni uliofanyika jana jijini humo.Picha kwa hisani ya Joseph Senga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom