MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Mwitikio wa wananchi kwenye uzinduzi wa kampeni za Ubunge Jimbo la Ukonga unadhisha kuwa wananchi kwa muda mwingi wamekosa mikikimikiki ya wanasiasa majukwaani, lakini pia unatoa picha kuwa wananchi wameondoka kuwa bendera fuata upepo na kubaki kuwa madhubuti katika harakati za mageuzi ya mifumo nchini.
Kwa mtindo huu 2020 wale jamaa wakubebwa wanaweza kupata tabu sana endapo vyama kinzani vitaendelea kutuletea damu changa Kama alivyokuwa myombea Ubunge Buyungu Kigoma na Sasa Ukonga..,...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtindo huu 2020 wale jamaa wakubebwa wanaweza kupata tabu sana endapo vyama kinzani vitaendelea kutuletea damu changa Kama alivyokuwa myombea Ubunge Buyungu Kigoma na Sasa Ukonga..,...
Sent using Jamii Forums mobile app