The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,963
- 2,945
Ni meneja wa kampeni Abdallah Bulembo amemsihi rais aingilie kati.
Last edited by a moderator:
Source please, maana hii habari haionekani kuwa na ukweliNi meneja wa kampeni Abdallah Bulembo amemsihi rais aingilie kati.
hahahahahaKuna dalili kuwa Bulembo na Wastara walijenga mahusiano wakati wa kampeni na haya maneno ni ushauri wa Wastara (muigizaji) anayebomolewa nyumba zake
kuna umbali uliowekwa kutoka mto. ukiwa ndani yake nyumba inabomolewa. baada ya bomoabomoa huenda mto msimbazi na mingine iliyokua inakatiza jiji itafufuka. vilio vya mafuriko hata manyunyu ya mvua vitakua historia.Safi bulembo , NEMC wanafanya sifa sasa , hata watu ambao hawapatwi na mafuriko wanabomolewa kwa lipi hasa
Mkuu Nemc wamepitiliza hata ule umbali wa mita60 kutoka kwenye kingo za mto ndio maana malalamiko yamekuwa mengi maana hao wengine miaka yote nyumba zao hazijawai kuwekwa Xkuna umbali uliowekwa kutoka mto. ukiwa ndani yake nyumba inabomolewa. baada ya bomoabomoa huenda mto msimbazi na mingine iliyokua inakatiza jiji itafufuka. vilio vya mafuriko hata manyunyu ya mvua vitakua historia.
IPO KWENYE MAGAZETI YA LEOSource please, maana hii habari haionekani kuwa na ukweli
kwa mtu yeyote mstarabu lazima afanye utafiti wa kutosha kabla ya kubomoa hizo nyumba kwani kama ni makosa hata serikali inamakosa kuachia mpaka nyumba zimejengwa hapo ni sawa na mwamke kufanya kosa la kupata mimba alafu unakuja kumuua mtoto kwa kudai kwamba mimba haikuwa ya halali. hapo lazima uingie gharama ya kumlea mtoto na ndivyo ilitakiwa serikali iingie gharama ya kuakikisha wanaobomolewa wanakuwa na mahali pa kuishiNi meneja wa kampeni Abdallah Bulembo amemsihi rais aingilie kati.