SaidSabke
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 2,071
- 402
Kada Mpinzani watu wengine wana akili ya makengeza wahurumie.Hawawezi kuona upande wa pili wanadhani kuongoza nchi sawa na soga la walamirungiwatu wengine mnachekesha na nadhani uchekeshaji wenu is part of your system, sasa unatakarais akae 2 star hotel ?
mambo mengine yaani ni kuongea ili mradi kuongea ! hata kama kungekuwa na scale ya 25 star hotel, still ingekuwa vizuri angekaa huko kama rais !
kama utaangalia upande mbaya tu wa JK then nadhani hautokuwa na matumaini yoyote so wewe endelea kuangalia upande wake mbaya tu, na usiniambie hana mazuri !