Jobless Graduate2021
Member
- Aug 15, 2021
- 49
- 45
Habari za Asubuhi ndugu Wana JF, ni matumaini yangu mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu pendwa la Tanzania. Naomba kufahamishwa ada (Undergraduate fees) za Kampala University Dar Es Salaam kias wanacholipa.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!?
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!?