Mshani de Orbital
Member
- Oct 10, 2014
- 14
- 4
Mi ni mwanafunzi wa kinachoitwa 'chuo kikuu cha kimataifa kampala' chuo hiki kwa kushirikiana na TCU kwa pamoja wamewalaghai watanzania...., kwanza T.C.U Wamewezaje kusajili wanafunzi zaidi ya 650 kujiunga na kozi za afya (b.pharmacy,b.medicine na b.medical lab) kana kwamba taasisi zote za nchi zinazohusika na usajili wa wataalamu wa afya kama (baraza la wafamasia,madaktari na wataalamu wa maabara) hazikitambui chuo hiki pamoja na kozi hizi kwa ngazi zote kuanzia ngazi ya cheti,stashahada na shahada
hiyo ni kwa upande wa usajili.na cha kushangaza zaidi jambo hili linajulikana hadi na waziri wa elimu na viongozi wote wa husika wa ngazi za juu.
La pili,mwongozo wa masomo ya chuo hiki yaani(cariculum/prospectus) haupo ,chuo hakina mtaala mfano wanafunzi wa diploma mwaka wa tatu wamerudishwa mwaka wa pili kwa kigezo kwamba mpaka chuo kifuate mtaala wa afya wa kufundishia kama ilivyoagizwa na NACTE.Kwa sasa chuo kinatumia mtaala wa uganda ambao ni kinyume na vyuo vyetu vya tanzania.
Na mengine ni mengi sana ikiwa ni pamoja na utofauti wa ada,mfumo wa supplimentary umekuwa ni wa kibiashara zaidi kwa gharama yake ni kubwa sana ukilinganisha na vyuo vingine(40,000tshs kwa somo na kuappeal ni 100,000tshs),uongozi wa chuo umejaa waganda na wanigeria pia wao kwa wao hawaelewani.
HIVI SASA TUKO KWENYE MGOMO LEO NI SIKU YA 3 LAKINI HATUJUI HATIMA YETU KWA SABABU MKURUGENZI WA T.C.U ALIFIKA SIKU YA IJUMAA NA KUONDOKA BILA KUSEMA CHOCHOTE NA ESCOT YA ZAIDI YA MAASKARI 20 CHI YA UONGOZI WA O.C.D.
TUNAOMBAA MSAADA TUFANYEJE WATANZANIA IKIWA SERIKALI IMETUSUSA!
YANAYOENDELEA:-
========================
========================
[TABLE="align: center"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD]
Kamanda wa Polisi wa wilaya ya kipolisi Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, JCN Simba, akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya afya na sayansi shirikishi ya chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala (KIU), kampasi ya Dar es Salaam, huko Gongo la Mboto nje kidoho ya jiji leo Jumanne Aprili 15, 2015.
Wanafunzi wote kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tano wanaochukua shahada, stashahada na vyeti, kwenye taaluma za madawa, pahamasi, na maabara, wamegoma jana, wakipinga chuo hicho kuendesha kozi hizo bila ya kuwa na cheti kutoka baraza la wafamasia la wizara ya afya na ustawi wa jamii, kama sheria inavyotaka.
Ingawa chuo hicho kimesajiliwa na tume ya vyuo vikuu (TCU), lakini sheria inataka chuo hicho kipate cheti cha kutambuliwa kozi inazotoa hususan katika masuala ya tiba kutoka kwenye baraza hilo.
Akizungumzia mgomo huo, Mkurugenzi wa mawasiliano wa chuo hicho, Uki Keneth, alikiri shule hiyo kutokuwa na cheti hicho, lakini akaelezea juhudi za chuo toka mwaka 2012za kuhakikisha cheti hicho kinapatikana, zinafanikiwa.
Hata hivyo alisema, chuo kina barua ya kuruhusiwa kuendesha kozi hizo kutoka baraza ingawa kisheria barua hiyo haina uzito wowote wa wanafunzi wanaohitimu masomo ya sayansi ya afya chuoni hapo kitambuliwa katika soko la ajira.
Chanzo: KhalfanSaid Blog
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
hiyo ni kwa upande wa usajili.na cha kushangaza zaidi jambo hili linajulikana hadi na waziri wa elimu na viongozi wote wa husika wa ngazi za juu.
La pili,mwongozo wa masomo ya chuo hiki yaani(cariculum/prospectus) haupo ,chuo hakina mtaala mfano wanafunzi wa diploma mwaka wa tatu wamerudishwa mwaka wa pili kwa kigezo kwamba mpaka chuo kifuate mtaala wa afya wa kufundishia kama ilivyoagizwa na NACTE.Kwa sasa chuo kinatumia mtaala wa uganda ambao ni kinyume na vyuo vyetu vya tanzania.
Na mengine ni mengi sana ikiwa ni pamoja na utofauti wa ada,mfumo wa supplimentary umekuwa ni wa kibiashara zaidi kwa gharama yake ni kubwa sana ukilinganisha na vyuo vingine(40,000tshs kwa somo na kuappeal ni 100,000tshs),uongozi wa chuo umejaa waganda na wanigeria pia wao kwa wao hawaelewani.
HIVI SASA TUKO KWENYE MGOMO LEO NI SIKU YA 3 LAKINI HATUJUI HATIMA YETU KWA SABABU MKURUGENZI WA T.C.U ALIFIKA SIKU YA IJUMAA NA KUONDOKA BILA KUSEMA CHOCHOTE NA ESCOT YA ZAIDI YA MAASKARI 20 CHI YA UONGOZI WA O.C.D.
TUNAOMBAA MSAADA TUFANYEJE WATANZANIA IKIWA SERIKALI IMETUSUSA!
YANAYOENDELEA:-
========================
========================
[TABLE="align: center"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD]
Kamanda wa Polisi wa wilaya ya kipolisi Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, JCN Simba, akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya afya na sayansi shirikishi ya chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala (KIU), kampasi ya Dar es Salaam, huko Gongo la Mboto nje kidoho ya jiji leo Jumanne Aprili 15, 2015.
Wanafunzi wote kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tano wanaochukua shahada, stashahada na vyeti, kwenye taaluma za madawa, pahamasi, na maabara, wamegoma jana, wakipinga chuo hicho kuendesha kozi hizo bila ya kuwa na cheti kutoka baraza la wafamasia la wizara ya afya na ustawi wa jamii, kama sheria inavyotaka.
Ingawa chuo hicho kimesajiliwa na tume ya vyuo vikuu (TCU), lakini sheria inataka chuo hicho kipate cheti cha kutambuliwa kozi inazotoa hususan katika masuala ya tiba kutoka kwenye baraza hilo.
Akizungumzia mgomo huo, Mkurugenzi wa mawasiliano wa chuo hicho, Uki Keneth, alikiri shule hiyo kutokuwa na cheti hicho, lakini akaelezea juhudi za chuo toka mwaka 2012za kuhakikisha cheti hicho kinapatikana, zinafanikiwa.
Hata hivyo alisema, chuo kina barua ya kuruhusiwa kuendesha kozi hizo kutoka baraza ingawa kisheria barua hiyo haina uzito wowote wa wanafunzi wanaohitimu masomo ya sayansi ya afya chuoni hapo kitambuliwa katika soko la ajira.
Chanzo: KhalfanSaid Blog
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]