Taarifa zote ziko humu,magazeti karibu yote ya leo yameripoti habari hiyo..wewe unataka taarifa gani tena,Jamani naombeni mwenye taarifa yoyote kuhusu mgomo wa wanafunzi wa chuo cha Kampala KIU. Pale Gongo la Mboto
Taarifa zote ziko humu,magazeti karibu yote ya leo yameripoti habari hiyo..wewe unataka taarifa gani tena,
sisi ndio tulioanza na hiko chuo hapo gongo la mboto mwaka 2010 ,chuo cha kijinga sana
Nimeipenda hii picha, Hiri riafande riko poa na rinatabasamu na madenti, ira rinaweza badirika at any time t......muraa chunga mzigo wako....
poleni kwa kutapeliwa. Inasikitisha kuona kwamba chuo kinazalisha madaktari wasio na viwango ambao matokeo yake watakuja kulingamiza taifa kwa kuwatibu wagonjwa vibaya. Vyuo kama hivi dawa yake ni serikal kutoruhusu usajili wa wanachuo kwa miaka kadhaa hadi kionyeshe ushahidi kuwa kimeandaa vizuri mazingira yote mhimu ya kufundishia na kujifunzia.
ASkari.......tumia weledi wenu.......piga hao wanafunzi,vunjavunja miguu yao maana wanajifanya wanaakili kuliko nyiye na wakubwa zenu.Piga hao ..... uwa kabisa.
Serikali imelala. Badala ya kufungia chuo cha hovyo kama hiki
Nimeipenda hii picha, Hiri riafande riko poa na rinatabasamu na madenti, ira rinaweza badirika at any time t......muraa chunga mzigo wako....
Kitu kingine wali wanafunzi wa mwaka wa nne kwa BMS ...kwa yeyote ambaye anawajua hasa wanafunzi wa pale chuoni,wale kweli ni watanzania?? nina mashaka hilo
Bakiza akiba ya maneno mkuu, chuo cha kijinga atasoma mtu ambaye nae ni............
komaeni bana kama paper zenu zenyewe ni kama hii![]()