Kampala international University 1st year tukutane hapa

Kampala international University 1st year tukutane hapa

Nilikiomba cha tatu ila bwana akakataa zaidi
 
iyo mi adaa utadhani unaenda nunua noah
 
Mimi mwanafunzi wa udom second year ila home gomz,Karibuni sana Gongo la mboto.Likizo tutakuwa pamoja kitaa,wale wa Shemshiz mpooooo
 
Tuache unafki chuo hakikidhi mahitaji uongozi mbovu mbaya ukijaribu kuzngumza unatishiwa kufukuzwa nipo c.o mwaka wa 1
 
du kiu kumbe madudu mengi ohhhh noooo
 
Unaweza kututajia mapungufu...ili tupate kukifahamu zaidi ??..
Nitakutajia machache
1.ada iliyopo kwenye admission letter tofauti na ya chuo ukifika na michango ya ajabu
2.mimi nasoma c.o mwalimu wa entrepreneure na nutrition wamefundisha nje ya mtaala ila ukiwaambia wanakutishia kukufukuza na lugha mbaya
3.tulilipia hela ya rotation lakini hatukwenda semister nzima mpka now tumeingia ya pili
4.tumeingia semister ya pili bila kupewa matokeo yetu ya cat1,cat 2 na ue so mtu unaanza kusoma semister ya pili hujui kama umefaulu au la
5.modules y anatomy mpka leo haijaisha maana mwalimu mmoja afundishe mwaka 1,2 na wa 3 tena na madarasa zaidi ya 6
6.hatujawahi kusoma kwa vitendo sisi tulio upande wa afya
7.dean aliyepo upande wa afya hana taaluma hiyo na mengine mengi
8.walimu sio wa kutosha na wengi wao hawakidhi viwango
9.ubabe mwingi kuliko uwajibikaji
10.chuo hakin ratiba unaweza hata kesho ukaamka mkaambiwa mufanye test
11.taarifa muhimu zinatolewa kwa mdomo au makundi ya whatsapp bil kufuata utaratibu

Mazuri yao
1.majengo mazuri
2.madarasa ya kutosha
3.lab zipo nyingi(ila sisi hatujawahi kuingia sijui lbda kwa md)
4.hospitali yao ipo mbioni kuisha nk
 
Back
Top Bottom