Kamishina wa TRA: Watanzania millioni 3 pekee kati ya millioni 45 ndo walipa kodi

shige2

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
8,106
3,966
Wana JF hebu niliweke hili hapa na tulijadili kitaifa na kizalendo.
Kamishina Mkuu wa TRA ndugu Alfayo Kidata amezungumzia kuhusu ULIPAJI WA KODI nchini ambao uko chini sana.
Kulingana na kauli iliyojaa MASIKITIKO makubwa kwamba Watanzania millioni 3 pekee ndo wanao lipa kodi nchini kati ya watu millioni 45 HAIMRIDHISHI.
Katika kauli yake aliwataka Watanzania KUTOKWEPA kulipa KODI.
Maana ndo maendeleo huanzia hapo.

Swali langu kuu ni kuwa.
1.Kwa nini Watanzania HAWALIPI KODI?
2.Je watu milioni 42 HAWANA KIPATO?
3,Tufanye nini kama TAIFA ili kila mtu AWAJIBIKE katika PATO lake?

4.Maendeleo ya nchi yatakuja namna gani wakati WENGI wetu SI WAAMINIFU na TUNALIIBIA TAIFA?
5.Nchi hii haiwezi KUJENGWA na watu millioni 3 pekee wakati wengine WAKIBEBWA migongoni.
Huo ni WIZI.
Tufanyeje ili kuliokoa taifa letu?
Mwenye mawazo weka hapa.
 
Magufuli ni mmoja wa wasiolipa kodi pamoja na mshahara mkubwa kwa mwaka wa $192,000. Ni aibu kwa mtu ambaye anapata mshahara mkubwa kama huu kuendelea kukwepa kulipa kodi. Ile salary slip aliyoahidi kuonyesha mshahara wake wa mwezi kama ni 9.5 million iliishia wapi?
 
Kwa ni watanzania wangapi wenye ajira zinazotambuliwa kisheria? Je! Kati ya hao wangapi ni wafanyabiashara walioidhinishwa kwao. Ikiwa asilimia kubwa ya wananchi wanategemea kilimo na umachinga hizo kodi mtazipataje?. Kiuhalisia kuna kodi zinazolipwa moja kwa moja kupitia wananchi ambapo wanapopata huduma yoyote wanakuwa wamelipia. Tra inachotakiwa kufanya ni kuboresha njia ambayo mawakala ambao ni wafanyabiashara/ matajiri watakuwa wanalipa tra bila kona. Mfano bakhressa yeye ni wakala wa tra kupitia bidhaa ambazo wananchi wanazinunua mitaani.huwezi na haitatokea wananchi wote wakala wameandikishwa kuwa walipakodi tra. Kila aliyeandikishwa anao watu zaidi ya 10,000 mgongoni mwake
 
Wakulima wanalipa vipi kodi? Maana tuna ambiwa kilimo kimeajiri 80% ya watanzania. Mfano una nyumba ya kijani ya kufugia mbogamboga au unalima ngombe wa maziwa, TRA wanapata je kodi kwa wakulima wa aina hii?

Na katika hizi takwimu zao za 3 million, je wanajua idadi ya wanaostahili kulipa kodi ni wangapi? Maana kama hujui wanao stahili kulipa basi vilevile hujui sababu za wao kutolipa.


Na washawasha!
 
Ni kodi ipi anayo izungumzia??? Kila bidhaa unayonunua kama kuna VAT unailipia wewe mtumiaji. Wafanya kazi sekta binafsi na serikalini wote wanakatwa kodi kwenye mishahara yao. Wafanyabiashara wanalipia kodi biashara zao..... ni kodi ipi hiyo??
 
Wana JF hebu niliweke hili hapa na tulijadili kitaifa na kizalendo.
Kamishina Mkuu wa TRA ndugu Alfayo Kidata amezungumzia kuhusu ULIPAJI WA KODI nchini ambao uko chini sana.
Kulingana na kauli iliyojaa MASIKITIKO makubwa kwamba Watanzania millioni 3 pekee ndo wanao lipa kodi nchini kati ya watu millioni 45 HAIMRIDHISHI.
Katika kauli yake aliwataka Watanzania KUTOKWEPA kulipa KODI.
Maana ndo maendeleo huanzia hapo.

Swali langu kuu ni kuwa.
1.Kwa nini Watanzania HAWALIPI KODI?
2.Je watu milioni 42 HAWANA KIPATO?
3,Tufanye nini kama TAIFA ili kila mtu AWAJIBIKE katika PATO lake?

4.Maendeleo ya nchi yatakuja namna gani wakati WENGI wetu SI WAAMINIFU na TUNALIIBIA TAIFA?
5.Nchi hii haiwezi KUJENGWA na watu millioni 3 pekee wakati wengine WAKIBEBWA migongoni.
Huo ni WIZI.
Tufanyeje ili kuliokoa taifa letu?
Mwenye mawazo weka hapa.
hahaa hata mie silipi ninauza ubuyu karanga vitenge wananikata kodi ile ninaponunua bidhaa yangu inatosha
 
Wana JF hebu niliweke hili hapa na tulijadili kitaifa na kizalendo.
Kamishina Mkuu wa TRA ndugu Alfayo Kidata amezungumzia kuhusu ULIPAJI WA KODI nchini ambao uko chini sana.
Kulingana na kauli iliyojaa MASIKITIKO makubwa kwamba Watanzania millioni 3 pekee ndo wanao lipa kodi nchini kati ya watu millioni 45 HAIMRIDHISHI.
Katika kauli yake aliwataka Watanzania KUTOKWEPA kulipa KODI.
Maana ndo maendeleo huanzia hapo.

Swali langu kuu ni kuwa.
1.Kwa nini Watanzania HAWALIPI KODI?
2.Je watu milioni 42 HAWANA KIPATO?
3,Tufanye nini kama TAIFA ili kila mtu AWAJIBIKE katika PATO lake?

4.Maendeleo ya nchi yatakuja namna gani wakati WENGI wetu SI WAAMINIFU na TUNALIIBIA TAIFA?
5.Nchi hii haiwezi KUJENGWA na watu millioni 3 pekee wakati wengine WAKIBEBWA migongoni.
Huo ni WIZI.
Tufanyeje ili kuliokoa taifa letu?
Mwenye mawazo weka hapa.
wengi hapo ni wafanyakazi
kwa mawazo yangu, badala ya kukomoa watu angetengeneza namna nzuri ya watu wengi kujiajiri ajira zenye kuwezesha watu kulipa kodi, now ndo najua kwanini watu wanalipa kodi nyingi kumbe wanaolipa wachache.
Magufuli na serikali yake watengeneze mazingira wezeshi watu wajiajiri

Nadhanu badala ya kuruka ruka na wapinzani wake now alifanyie hili swala kazi
 
Jamani, nini maana ya VAT katika bidhaa? Kuna mtanzania yeyote hanunui bidhaa au kutumia huduma kama za mawasiliano zinazolipiwa VAT? Au wana maanisha kodi gani haswa?
 
Kuna sehemu itakua mfuko umetoboka! au rate ya watu walioajiriwa na kuajiriwa ni ndogo sana,tatu Tajiri huwa halipi kodi ila watu wa chini ndio huwa wanalipa.
 
Asitumie statistics kupaint a misleading picture

Ukiachana na vat kwenye different consumer goods ambayo almost kila mtu analipia, tuje kwenye statement yake

About nusu ya population ya Tanzania ni children aged 18 and under sasa hao watalipa kodi kwenye nini
Second, more than 70% ya workforce wanafanya kazi kwenye informal sector
Thirdly unemployment is high na business environment isn't favorable, so ni biashara chache ndo zinaanzishwa

Hapo inamaana watu wanaotakiwa kulipa kodi ni about 10 - 15 million people at most

So wakitaka kuincrease walipaji kodi waanze kuziformalize hizo informal sector na warahisishe ukusanyaji mapato, cause kuna too much bureaucracy na red tapes na lastly wacreate a favourable business environment ambapo biashara zinaweza kushamiri
 
Ubashite wako peleka Lumumba taahira wewe siyo humu. Magufuli alitangaza hadharani kwamba ataweka salary slip yake hadharani kuonyesha mshahara wake ni 9.5 million wakati si kweli na bado anaendelea kulipa kodi pamoja na mshahara mkubwa.

Povu lako ni la muda mrefu yaani ni mtu wa kutokwa mapovu "tilla die"
 
Magufuli ni mmoja wa wasiolipa kodi pamoja na mshahara mkubwa kwa mwaka wa $192,000. Ni aibu kwa mtu ambaye anapata mshahara mkubwa kama huu kuendelea kukwepa kulipa kodi. Ile salary slip aliyoahidi kuonyesha mshahara wake wa mwezi kama ni 9.5 million iliishia wapi?
Rais ni miongoni mwa hao mil 42 wasiolipa kodi!Haahaaaaaa!!!!!
Ila mi naona si sahihi kwani watanzania wanalipa indirect tax,kila bidhaa inayonunuliwa imeshawekewa element ya kodi kwny gharama yake!
 
Sasa anadhani kwenye hao watu milion 45 wote ni wafanyabiashara ? Kuna watoto humo, mateja,wezi,vibaka, na makahaba humo.

Atafute idadi ya watanzania wanaofanya biashara na waliosajiliwa biashara zao sio kusema ni milion tatu tu ndo wanalipa.
Hata hao watoto, mateja, wezi, vibaka na makahaba wanalipa kodi. Muhimu angetaja kwanza ni aina gani za kodi anazozungumzia.
 
Huyu naye! Kila bidhaa au huduma inayonunuliwa au kulipiwa nyuma yake kuna kodi inalipwa. Au alitaka kila mtanzania ampelekee furushi la hela ofisini ndio aone kwamba wanalipa kodi? Awe makini wasije kuanza kuhoji weledi wake yakaibuka mengine. Aliponea chupu chupu suala la VAT kwenye miamala bora anyamaze tu asitie watu hasira bure.
 
Ubashite wako peleka Lumumba taahira wewe siyo humu. Magufuli alitangaza hadharani kwamba ataweka salary slip yake hadharani kuonyesha mshahara wake ni 9.5 million wakati si kweli na bado anaendelea kulipa kodi pamoja na mshahara mkubwa.
Bado UNABUBUJIKWA na mapovu kama kawa.
 
Back
Top Bottom