ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
- Thread starter
- #121
Kama ni kutwanga maji kwenye kinu,jiulize kwanini baada ya sanctions China imepunguza sana kununua mafuta ya Iran na kugeukia kwa Saudi ArabiaHuko ni kutwanga maji kwenye kinu je kuna lolote walofanikiwa US kwa kuweka sanctions kwa Chinese companies ??!
Jibu laa watu wanazid kuendelea na biashara kat ya China na Iran zinaendelea vile vile.
China has tapped Saudi Arabia for a record volume of crude as the world’s biggest exporter plugs a shortage from sanctions-hit Iran.
Asia’s biggest buyer shipped 7.72 million metric tons of crude, or 1.89 million barrels a day, from Saudi Arabia last month, according to data from China’s General Administration of Customs. Shipments from the OPEC producer made up almost a fifth of its total oil purchases in June and was 64% higher than the previous month. Imports from Iran fell to the lowest since May 2010.