Tony Almeda
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 397
- 122
Hivi hizi kamati ni lazima ziwe za kudumu?
Je kamati nazo zikiboronga zinawajibika vipi?
Kama ripoti ya kamati ya Uchukuzi ya Peter Serukamba, Mpaka mh John Mnyika anaifanyia mabadiliko kipengele muhimu kwa maslahi ya taifa hili, Kamati nzima inamaana walikuwa wako pale kwa maslahi binafsi na si ya taifa?
Kama JK alivyowatosa maNundu na Mfutakamba, kwa nini mh Anna Makinda na kamati yake ya uongozi asimtoe nduki huyu Serukamba, na kuisambaratisha kamati hii kama waliopo uwezo wao ni mdogo katika kuhoji, kusimamia na kuishauri serikali?
Je kamati nazo zikiboronga zinawajibika vipi?
Kama ripoti ya kamati ya Uchukuzi ya Peter Serukamba, Mpaka mh John Mnyika anaifanyia mabadiliko kipengele muhimu kwa maslahi ya taifa hili, Kamati nzima inamaana walikuwa wako pale kwa maslahi binafsi na si ya taifa?
Kama JK alivyowatosa maNundu na Mfutakamba, kwa nini mh Anna Makinda na kamati yake ya uongozi asimtoe nduki huyu Serukamba, na kuisambaratisha kamati hii kama waliopo uwezo wao ni mdogo katika kuhoji, kusimamia na kuishauri serikali?