Kamati za bunge mnatuchefua

Acheni kutetea uovu! Hivi, unaposema taratibu fulani haikufuatwa ktk jambo fulani unatupa/unatujengea picha gani?

Kwa mfano mtumishi fulani alitakiwa kufanya mambo A,B,C,.....G halafu katika utekelezaji wa jambo hilo hakuweka viambata mhimu vinavyotakiwa kuhalalisha jambo hilo kwa wazi kabisa. Kesho watu wakija kumkagua aseme risiti ckupewa tutamwelewa?

Katika mazingira ya namna hiyo tutaachaje kuwa na wasiwasi! Na kwanini vitu fulani vikosekane wakati taratibu na kanuni za kiutendaji wa ki-utumishi zinafahamika?

iMind, hapa cjakuelewa kutokana na uliyoyasema.
 
Wana JF kila siku tuanaskia madudu,ubadhilifua,Uzembe,Rushwa na Ufujaji wa Mali za Uma na kupotea uadilifu kwa Viongozi ambao unai buliwa na KAMATI za Kudumu Za Bunge,

Sasa ni Kipi kinachokataza watu hawa kuchuuliwa Hatua? Kwa Niaba ya Wagosi wenzangu Hapa Tanga sasa tumechoshwa na kuskia UOZO usiochukuliwa hatua kwa kuirekibisha au Kuwachukulia Hatua wahusika(MNATUCHEFUA).

Jamani sasa Basi tumechoka na vikao vyenu visivyo na Hatua za utendaji zaidi ya kutupasha tu Habari,kazi hiyo iacheni Magazeti..
Hata Maamuzi yenu Bungeni sasa hayana Mashiko na ndo Maana Uchaguzi uliopita watu wengi hawakujitokeza kupiga Kura...

Hizi kamati huwa hazikundui chochote,sana sana huwa wanasoma taarifa za ukaguzi za mahesabu na kwa vile wanakuwa na nafasi ya kuongea na vyombo vya habari hapo ndio wanaanza kujifanya kuwa wamegundua, ila kiulisia taarifa zote za matumizi mabaya ya hela za ofisi za serikali huwa wanazikuta tayari zipo. Sio siri wenyeviti wa hizi kamati wengi wao ni kutaka tu publicity na njia pekee ya kujitangaza ni kusema na vyombo vya habari
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom