YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Sema inayotambuliwa na wapembaCuf ya Maalim Seif ndio Cuf inayotambuliwa na umma wa wa Tanzania!
Sema inayotambuliwa na wapembaCuf ya Maalim Seif ndio Cuf inayotambuliwa na umma wa wa Tanzania!
Ficha upumbavu wako usiifiche hekima!! Hata hujui maana ya Sekretarieti!Eti kikao cha kamati tendaji? Ipi? mbona hakina mwenyekiti? Halafu kinafanyika wapi? Buguruni au wapi?
Subiri tuone hizo fomu za wagombea wenu mtazipeleka chooni au wapi sababu zikikosa sahihi ya Lipumba ni sawa na toilet paper tu haziendi kokote ndio utamjua Lipumba ni nani na kuwa hicho kinachoitwa kamati tendaji hakuna maana yoyote bila sahihi na uwepo wa Lipumba.Saa hii endeleeni kjipa Faraja hewaLipumba hana kamati tendaji ana vibaka wa Lumumba.
Tatizo la cuf ubush lawyer mwingi. hadi wanasheria wanakua wajinga ili kutekeleza anavyotaka seif na wapambe wake.Mungu ibariki cuf .
Lipumba naye aitishe kamati tendaji ya mabaunsa.Subiri tuone hizo fomu za wagombea wenu mtazipeleka chooni au wapi sababu zikikosa sahihi ya Lipumba ni sawa na toilet paper tu haziendi kokote ndio utamjua Lipumba ni nani na kuwa hicho kinachoitwa kamati tendaji hakuna maana yoyote bila sahihi na uwepo wa Lipumba.Saa hii endeleeni kjipa Faraja hewa
wabishi mno subiri hizo fomu wakijaza bila sahihi ya Lipumba tuone watapeleka wapi watapeleka chake chake Pemba au wapi maana hazitakubaliwa na tumeTatizo la cuf ubush lawyer mwingi. hadi wanasheria wanakua wajinga ili kutekeleza anavyotaka seif na wapambe wake.
wabishi mno subiri hizo fomu wakijaza bila sahihi ya Lipumba tuone watapeleka wapi watapeleka chake chake Pemba au wapi maana hazitakubaliwa na tume