iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
sheikh wa mkoa wa Dar huongoza kamati ya viongozi wa dini ambao hutoa matamko mbalimbali ya.kisiasa na kijamii.
sijawasikia wakitoa tamko katika suala la mikopo ya wanafunzi,kulikoni?
basi nashauri wanafunzi waliokosa mkopo waunde kamati wakawaone viongozi hawa na kuwashawishi watoe tamko au kumwona mkulu
sijawasikia wakitoa tamko katika suala la mikopo ya wanafunzi,kulikoni?
basi nashauri wanafunzi waliokosa mkopo waunde kamati wakawaone viongozi hawa na kuwashawishi watoe tamko au kumwona mkulu