Kamati ya Lowassa yachanganya mambo

Jamani hapa tusichanganye mambo. Ukweli ni kwamba Kamati hiyo ilikwenda Morroco bila hata kubeba Walau hata Afisa Mambo ya Nje ili hata kuwasaidia huku. Kibaya zaidi ni kwamba badala ya kukaa na kuongea yanayowahusu wenyewe wanaenda kuingilia masuala yanayohusu msimamo wa nchi kutu ambacho kinaskitisha. Ninachokujua mimi ni kwamba dimamo wa Tanazania haujabadilika bado tunaunga mkono Western Sahara lakini waheshimiwa hawa wameenda kulikoroga.

Ningekuwa Mwandishi wa Habari ningetaka kujua mwaliko huo wa nchi ambayo hatuna hata uhusiano nayo ilikuwaje ukapokelewe na Wabunge na wakakurupuka tu bila hata kuuliza kwa nini wamealikwa.
 

Tatizo mnajua kumwaga povu jingi humu wakati hamuelewi kilichokuwa kinaendelea,Kama hujui kazi za kamati ya mambo ya nje,ulinzi na Usalama tafuta kanuni za kudumu za bunge,mngekuwa mnajua kazi zake wall msingetoa hayo mapovu yenu,na muelewe BUNGE ni muhimili unaojitegemea.
Subirini mtasikia press conference ya kamati ndo mtajua mbivu na mbichi ni zipi siyo kubwabwaja bwaja tu hapa ili mradi una kisimu kina internet basi imekuwa tabu.
 

Na wewe unachanganya mambo kama jamaa wa kamati ya lowassa...!

Unaonaje kama issue ya membe na ghadafi wake ukaianzishia thread yako badala ya kuvurugu pengine kwa kutojua au kwa makusudi mjadala kuhusu mamlaka ya kamati ya bunge ya mambo ya nje na mipaka yake?
 

You are not helping if you don't tell us if the committee in question has the mandate to override the government's stand on West Sahara.
 
Hivi lowassa na genge lake wamehojiwa kwa uhaini huu au?
 

walipewa suit na vijisenti
 
Mhe Lowassa sio kiongozi mzuri na mtu wa maamuzi ya kukurupuka,

Kamati ya Lowassa yachanganya mambo


Haya aliyasema alipokuwa Morocco baada ya kupewa hongo ya Mamilion ya Dollars, mtu kama huyu akipewa nchi si ataiuza. Huyu ni bwana maslahi tuu, kama angekuwa na nia njema na Tanzania au Chadema, angetumia mabillion yake kutuletea kiongozi bora , mtu anajua hali yake ya kiafya haimruhusu mikimiki ya campaigne lakini bado ni yeye tuu.

"We are in perfect harmony with the U.N. resolutions and Tanzania is satisfied with the autonomy proposal to the southern provinces put forward by Morocco as a solution to the Sahara issue. We consider that the return of the Kingdom to AU can only encourage a swift settlement in its favor," said Lowassa.
 
Mbona mnapaniki????????????????????????????????????????????????????????????????

Tulieni tu Mgonjwa aingie ikulu mtajua, mnaiba mnayapa matoto yenu yanakuwa matajiri kwani hatujui??????

Lowassa Raisi hayo mengine baadae
 
We unawashw nini ss tunamchagua huyo huyo mgonjwa wetu nyie so mnafanya matamasha ya fiesta huko mikoani nakusindkz na matusi alipo tupi we bweka tu kaa mmbwa mwenye wazm ccm by bye
 


Yale maneno aliyoyatamka Mzee Mkapa yanafit kabisa kwako
 

Attachments

  • IMG-20150930-WA0000.jpg
    9.5 KB · Views: 2,966
muda wa kampeni umeisha sasa hivi bavicha wapo kazini kuzusha mambo tuwaachie fani yao hiyo
 
We unawashw nini ss tunamchagua huyo huyo mgonjwa wetu nyie so mnafanya matamasha ya fiesta huko mikoani nakusindkz na matusi alipo tupi we bweka tu kaa mmbwa mwenye wazm ccm by bye

Asante kwa majibu yako, kaa ukijua kura ni yako na jukumu la nani wa kumpa ni wako, lakini madhara ya uchaguzi wako utawasaidia au kuwadhuru wengi. Think before you leap, fanya uamuzi wenye busara na chaguo chambo cha kuaminika kama CCM. No other solution except Magufuli.
 
Unapoteza muda wako Nyota ya Lowassa inawaka Hatari!
 


Magufuli anafaa kuwa dereva wa Rais Lowassa maana anajua kilometa za barabara zote
 

Attachments

  • FB_IMG_1442813782943.jpg
    8.9 KB · Views: 2,003
Mbona mnapaniki????????????????????????????????????????????????????????????????

Tulieni tu Mgonjwa aingie ikulu mtajua, mnaiba mnayapa matoto yenu yanakuwa matajiri kwani hatujui??????

Lowassa Raisi hayo mengine baadae

Hivi hii ndio akili yako? Kama ndio hivyo nyie machadema mna akili za ajabu.

Kati ya lowasa na magufuli nani bingwa wa ufisadi aka wizi?

Kwanin hampendi kujadili wizi wa magufuli kama upo badala yake mnajadili wa Kikwete? Au Kikwete ndio atakuwa magufuli?
 
Hampati mapungufu ya magufuli yenye mashiko. Mnabaki kupapasa hapa na pale kama hamuoni
 

Nani kakwambia Magufuri sio Mwizi? Harafu sijataja Mtu hapa inaonekana unajua kuwa Kikwete ni mwizi, sasa kama Kikwete ni mwizi mbona Mafuguri anamsifia? Huna lolote wewe

Lowassa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…