Hii safari ya kamati ya Lowassa huko Morocco imenipa maswali mengi sijui hata pa kuazania?
Kwanza hii safari ina maslahi gani na Jamhuri ya muungano wa Tanzania? Ni nani anahusika kutoa vibali kwa kamati za bunge kusafiri ndani na nje ya nchi? Na hii safari walienda kwa sababu zipi? Kwa nini Morocco? Walikuwa wanataka kutatua tatizo gani kwa niaba ya wananchi wa Tanzania?
Kama issue ni Morocco na Western Sahara kwa nini kamati ilifanya mazungumzo na upande mmoja tu (Morocco) na sio pande zote mbili? Kwa nini baada ya kuongea na viongozi wa Morrocco Kamati haikwenda kuonana na uongozi wowote toka upande wa pili wa shilingi (Western Sahara)? Huko sio kuchukua side? Ina maana Tanzania tumebadilisha msimamo wetu kama nchi?
Hapa nadhani Spika wa Bunge anatakiwa atoe majibu, kamati ya bunge ilikwenda Morocco kwa lipi? na wamepata nini?
Hili lisikushangaze ,Membe naye alikuwa ana mambo yake binafsi kwa kutoa matamko yanayolemea upande wa mapenzi yake kwa faida yake binafsi.Ila soon mtajua kwamba ule ulukuwa ni msimamo wa nchi ama Membe.
Kwa wale wafuatiliaji mtakumbuka Membe kipindi ambacho serikali ya Gadaffi imeanguka alitoa tamko la kutoitambua Serikali mpya ya iliyotwaa madaraka.Haya aliyatoa pale alipoulizwa swali BBC kuhusu kushushwa bendera ya Libya (Utawala wa Gadafi) kwenye ubalozi wa Libya -Tanzania.
Siku chache zilizofuata ikaguundulika ilikuwa sio msimamo wa nchi bali Membe alitoa tamko lile kutokana na msukumo wa uswahiba wake na aliyekuwa raisi wa Libya (M. Gadaffi)
Tatizo mnajua kumwaga povu jingi humu wakati hamuelewi kilichokuwa kinaendelea,Kama hujui kazi za kamati ya mambo ya nje,ulinzi na Usalama tafuta kanuni za kudumu za bunge,mngekuwa mnajua kazi zake wall msingetoa hayo mapovu yenu,na muelewe BUNGE ni muhimili unaojitegemea.
Subirini mtasikia press conference ya kamati ndo mtajua mbivu na mbichi ni zipi siyo kubwabwaja bwaja tu hapa ili mradi una kisimu kina internet basi imekuwa tabu.
Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje chini ya uenyekiti wa Edward Lowassa ipo ziarani Morocco.Waheshimiwa wetu hawa wakiwa huko wametoa msimamo unaofanana na ule wa Morocco lakini unaokinzana na ule wa serikali ya Tanzania kuhusiana na suala la Sahara Magharibi.
Kamati ya mambo ya nje imetoa msimamo na kudai Tanzania inaunga mkono Morocoo katika harakati zake kwa Sahara Magharibi wakati inavyofahamika ni kwamba Tanzania kwa maana ya serikali haiiungi mkono morocco kwenye suala hilo.
Swali:Je kamati ya bunge ya mambo ya nje inayo mamlaka ya kutoa msimamo kwa niaba ya serikali?kama hapana kuna ushawishi gani wamekumbana nao waheshimiwa hawa wakiwa huko morocco kiasi cha kuwalevya na kuamua kutoa msimamo huo ambao ni Tofauti na msimamo wa serikali?
Mhe Lowassa sio kiongozi mzuri na mtu wa maamuzi ya kukurupuka,
Kamati ya Lowassa yachanganya mambo
Haya aliyasema alipokuwa Morocco baada ya kupewa hongo ya Mamilion ya Dollars, mtu kama huyu akipewa nchi si ataiuza. Huyu ni bwana maslahi tuu, kama angekuwa na nia njema na Tanzania au Chadema, angetumia mabillion yake kutuletea kiongozi bora , mtu anajua hali yake ya kiafya haimruhusu mikimiki ya campaigne lakini bado ni yeye tuu.
"We are in perfect harmony with the U.N. resolutions and Tanzania is satisfied with the autonomy proposal to the southern provinces put forward by Morocco as a solution to the Sahara issue. We consider that the return of the Kingdom to AU can only encourage a swift settlement in its favor," said Lowassa.
We unawashw nini ss tunamchagua huyo huyo mgonjwa wetu nyie so mnafanya matamasha ya fiesta huko mikoani nakusindkz na matusi alipo tupi we bweka tu kaa mmbwa mwenye wazm ccm by bye
Asante kwa majibu yako, kaa ukijua kura ni yako na jukumu la nani wa kumpa ni wako, lakini madhara ya uchaguzi wako utawasaidia au kuwadhuru wengi. Think before you leap, fanya uamuzi wenye busara na chaguo chambo cha kuaminika kama CCM. No other solution except Magufuli.
Mbona mnapaniki????????????????????????????????????????????????????????????????
Tulieni tu Mgonjwa aingie ikulu mtajua, mnaiba mnayapa matoto yenu yanakuwa matajiri kwani hatujui??????
Lowassa Raisi hayo mengine baadae
Hivi hii ndio akili yako? Kama ndio hivyo nyie machadema mna akili za ajabu.
Kati ya lowasa na magufuli nani bingwa wa ufisadi aka wizi?
Kwanin hampendi kujadili wizi wa magufuli kama upo badala yake mnajadili wa Kikwete? Au Kikwete ndio atakuwa magufuli?