Kamati ya kuchuguza tozo itakuja na majibu kesho

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Tozo za miamala

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amelizungumzia suala la tozo ya miamala ya simu ambalo kimekuwa kilio cha wananchi cha muda mrefu, kwamba majibu yatatolewa Agosti 31, 2021.

Alikiri jambo hilo kulalamikiwa na watu wengi, ambapo alisema kinachokwamisha ni sababu za kisheria

“Tozo za miamala zilianzishwa kwa mujibu wa sheria hivyo huwezi kukurupuka kusema kitu bila kufuata sheria, lakini Rais alilitolea maelezo na tayari kamati iliundwa na Waziri Mkuu hivyo Agosti 31, 2021 itakuja na majibu,” alisema Msigwa.

Mwananchi
 
Tozo za miamala

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amelizungumzia suala la tozo ya miamala ya simu ambalo kimekuwa kilio cha wananchi cha muda mrefu, kwamba majibu yatatolewa Agosti 31, 2021.

Alikiri jambo hilo kulalamikiwa na watu wengi, ambapo alisema kinachokwamisha ni sababu za kisheria

“Tozo za miamala zilianzishwa kwa mujibu wa sheria hivyo huwezi kukurupuka kusema kitu bila kufuata sheria, lakini Rais alilitolea maelezo na tayari kamati iliundwa na Waziri Mkuu hivyo Agosti 31, 2021 itakuja na majibu,” alisema Msigwa.

Mwananchi

Ongezeko maradufu ingependeza zaidi
 
Tozo za miamala

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amelizungumzia suala la tozo ya miamala ya simu ambalo kimekuwa kilio cha wananchi cha muda mrefu, kwamba majibu yatatolewa Agosti 31, 2021.

Alikiri jambo hilo kulalamikiwa na watu wengi, ambapo alisema kinachokwamisha ni sababu za kisheria

“Tozo za miamala zilianzishwa kwa mujibu wa sheria hivyo huwezi kukurupuka kusema kitu bila kufuata sheria, lakini Rais alilitolea maelezo na tayari kamati iliundwa na Waziri Mkuu hivyo Agosti 31, 2021 itakuja na majibu,” alisema Msigwa.

Mwananchi
Rais alisema hakuna mwananchi analalamikia tozo hizo.
 
Tozo za miamala

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amelizungumzia suala la tozo ya miamala ya simu ambalo kimekuwa kilio cha wananchi cha muda mrefu, kwamba majibu yatatolewa Agosti 31, 2021.

Alikiri jambo hilo kulalamikiwa na watu wengi, ambapo alisema kinachokwamisha ni sababu za kisheria

“Tozo za miamala zilianzishwa kwa mujibu wa sheria hivyo huwezi kukurupuka kusema kitu bila kufuata sheria, lakini Rais alilitolea maelezo na tayari kamati iliundwa na Waziri Mkuu hivyo Agosti 31, 2021 itakuja na majibu,” alisema Msigwa.

Mwananchi

Wanachunguza nini?😂😂😂😂
 
Tozo za miamala

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amelizungumzia suala la tozo ya miamala ya simu ambalo kimekuwa kilio cha wananchi cha muda mrefu, kwamba majibu yatatolewa Agosti 31, 2021.

Alikiri jambo hilo kulalamikiwa na watu wengi, ambapo alisema kinachokwamisha ni sababu za kisheria

“Tozo za miamala zilianzishwa kwa mujibu wa sheria hivyo huwezi kukurupuka kusema kitu bila kufuata sheria, lakini Rais alilitolea maelezo na tayari kamati iliundwa na Waziri Mkuu hivyo Agosti 31, 2021 itakuja na majibu,” alisema Msigwa.

Mwananchi
Msigwa ni ndumilakuwili. Ni yeye amekuwa akibeza maoni ya kupinga hizi tozo kwa sauti kubwa. Tozo ni swala la kisheria, na sheria yoyote kabla ya kufika bungeni.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom