Kwa wataalamu wa Sheria na maswala ya bunge na , ningependa kujua kamati hii ina powers zipi, pia muundo wake ukoje, je kama ikithibitika kuwa Spika anakwenda kinyume na utaratibu ni hatua gani zinaweza kuchukuliwa dhidi yake, je sio kuwa ni mambo yale yale muundo wake unafuata propotionality ya idadi ya wabunge ambao wengi wanatoka chama tawala, naomba kuelimishwa