Watu wanaiba hela hapo hakuna hasara hata iweje...kampuni haina ushindani ni wao tuu wanapataje hasara wakati bus za mikoani na ushindani mkubwa na hasara sio kubwa kama za huko kila kukicha...napinga hakuna hasara ni wizi tuu maana mali ni ya umma hakuna anaejali..
Mkuu Maxmalipo walipigwa zengwe kwa sababu wabongo wanapenda Sana wizi, hivyo mifumo ya kuwadhibiti hawaitaki kabisa lazima waivuruge..We tiketi hawachani wanazungusha zinarudi tena kupitisha watu wengine. Lile shirika ni taka taka. Tutegemee ili pia siku sgr ikianza kufanya kazi.
Kwani serikali au shirika lisije na mfumo wa kadi ili kuingia mwendokasi lazima uwe na card, na card inakuwa buku.. then unakua una nunua tiketi kwa mfumo wa kadi na scanning zifanye kazi maana tangu max malipo aondokw ni mfu.
Waongeze ubunifu wangekuja na vip mwendokasi kama mdau mmoja alivyosema, seat safi, kiyoyozi.
Pia watazame upya swala lao wa nauli kuna mahali sio wa kuenda na 650, wapunguze na mida ya watu kungoja bus
Kumbuka hiyo ni huduma ya kijamii sio sekta binafsiHasara ni kwa kutokuwa Wabunifu...
Ongezeni ,Tengeni Ma-bus kadhaa kwa huduma ya VVIP zenye Kadi Maalumu ...Mbezi Kivukoni 3000/=
Ubungo - Posta 2000/=
iwe ni Level Seat- Express
Tutayaacha Magari Nyumbani
Sisi wengine wenye uwezo tutalipa kwani tunajadili huduma bora na uharaka. Mbona ndege watu wanalipa mpaka laki nne kwenda Dodoma?Moja kwamoja nishindwe kulipa bus Bm au abood 8000 niaze kulipa 50000 au 30000 kufika moro ,yaan akati pesa ya lodge inabakia nikilipa 8000
Ilitakiwa kwenye hizo barabara waruhusu makampuni mawili au matatu yenye sifa yafanye kazi na yalipe kodi serikalini...Dala dala za kawaida za watu binafsi zinagombania wateja zipate faida. Ila mwendo kasi isiyo na mshindani inapata hasara
Mkuu tema mate chiniHata bwawa la nyerere litakauka baada ya wiki moja tu ya kujazwa maji.
Huwa nawaona Sana pale Tip top Bar ManzeseWasimamizi wa huo mradi wenyewe kutwa wanashinda manzese wakinywa supu ya utumbo wa mbuzi na K vant..hakuna wanachofanya
Huu mradi umekuwa aibu kwa taifa mwanzoni ulionekana kuwa mzuri mpaka nchi nyingine zikawa zinakuja kuutembelea.Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Uharaka kapande ndege ww ,umeme wenyewe hauna unakenua mdomo kwa Jambo lisilowezekana ....ukiachana na gharama yanauli miundombinu ya uendeshaj unaijua mwendokasi tu haitumii umeme inajiendesha kwahasara je huko mtawezaSisi wengine wenye uwezo tutalipa kwani tunajadili huduma bora na uharaka. Mbona ndege watu wanalipa mpaka laki nne kwenda Dodoma?
Hujui taaluma ya usafiri ndio maana unashangaa.Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Mkuu Maxmalipo walipigwa zengwe kwa sababu wabongo wanapenda Sana wizi, hivyo mifumo ya kuwadhibiti hawaitaki kabisa lazima waivuruge..
Bwawa sio mradi wa biashara ni mradi wa huduma, tayari tuna mabwawa umeona yamekauka?
Sgr ni uhakika hakuna siku itakuja kuleta faida,kwa mzigo upi huko inakojengwa?Huyo aliyesema SGR itajiendesha Kwa hasara huo mradi umeshaanza?
"Unafiki ni ugonjwa mbaya sana"
Pumbavu vvip ya nini,hio niia tulikuwa tunapita kwa 400 tu leo nauli 600 wanashindwa nini?Hasara ni kwa kutokuwa Wabunifu...
Ongezeni ,Tengeni Ma-bus kadhaa kwa huduma ya VVIP zenye Kadi Maalumu ...Mbezi Kivukoni 3000/=
Ubungo - Posta 2000/=
Level Seat
Tutayaacha Magari Nyumbani