Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
KAMATI KUU YA H/KUU YA CCM TAIFA KUKETI JUMANNE TAREHE 21 JUNI JIJINI DODOMA.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.
Rais Samia anatarajiwa kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa siku ya Jumanne Juni 21,2022 jijini Dodoma.
#AlipoMamaVijanaTupo
#CCMImara
#KaziIendelee
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.
Rais Samia anatarajiwa kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa siku ya Jumanne Juni 21,2022 jijini Dodoma.
#AlipoMamaVijanaTupo
#CCMImara
#KaziIendelee